Clouds TV Rekebisheni Usikivu wenu.

Clouds TV Rekebisheni Usikivu wenu.

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
23,372
Reaction score
55,027
Nimekuwa nakosa usikivu mzuri (Sauti) hasa ukitazama vipindi Mubashara, Sauti za watangazaji zinasikika vibaya sana Kama vile wapo ndani ya Pipa.

Mmekuwa TV yenye kufuatiliwa na watu siku za hivi karibuni ila kama Studio zimewashinda hata kutengeneza ili kuepusha huu mwangwi unaosikika ni hatari tupu.
 
Nimekuwa nakosa usikivu mzuri (Sauti) hasa ukitazama vipindi Mubashara, Sauti za watangazaji zinasikika vibaya sana Kama vile wapo ndani ya Pipa.

Mmekuwa TV yenye kufuatiliwa na watu siku za hivi karibuni ila kama Studio zimewashinda hata kutengeneza ili kuepusha huu mwangwi unaosikika ni hatari tupu.
Karibu wasafi TV achana na TV za wahenga
 
Nimekuwa nakosa usikivu mzuri (Sauti) hasa ukitazama vipindi Mubashara, Sauti za watangazaji zinasikika vibaya sana Kama vile wapo ndani ya Pipa.

Mmekuwa TV yenye kufuatiliwa na watu siku za hivi karibuni ila kama Studio zimewashinda hata kutengeneza ili kuepusha huu mwangwi unaosikika ni hatari tupu.

Sasa kama Vipindi vyao vya sasa vya Television ( Runinga ) vyote vinafanyikia katika Chumba cha Kulala cha CEO wao unataka Sauti iwe juu ili mwenye Mali aamke Mkuu? Wavumilie tu!
 
Sasa kama Vipindi vyao vya sasa vya Television ( Runinga ) vyote vinafanyikia katika Chumba cha Kulala cha CEO wao unataka Sauti iwe juu ili mwenye Mali aamke Mkuu? Wavumilie tu!
Siku Camera ikicheza kidogo tutaona Kitanda cha CEO, Ngoja tuvumiliane maana nadhani hata wao wanaona aibu.
 
Siku Camera ikicheza kidogo tutaona Kitanda cha CEO, Ngoja tuvumiliane maana nadhani hata wao wanaona aibu.

Kuna Siku nilimwona Mtangazaji mmoja Tangazo linataka kuanza kwenda hewani Yeye akaamka upesi kachukua Kopo na kutokomea nalo msalani / chooni na sikumuona tena hadi Kipindi kilipoisha na nadhani siku ile ' Choo ' kilimkoma mule ndani.
 
Nataka kusikia wasafi fm na tv kama watapiga nyimbo za king kiba
 
Nimekuwa nakosa usikivu mzuri (Sauti) hasa ukitazama vipindi Mubashara, Sauti za watangazaji zinasikika vibaya sana Kama vile wapo ndani ya Pipa.

Mmekuwa TV yenye kufuatiliwa na watu siku za hivi karibuni ila kama Studio zimewashinda hata kutengeneza ili kuepusha huu mwangwi unaosikika ni hatari tupu.
Na wako ndani ya pipa kweli ushawah kwenda clouds?
 
Nataka kusikia wasafi fm na tv kama watapiga nyimbo za king kiba
Sasa wewe Suala la Kiba na usikivu mbaya wa Clouds Tv linahusiana nini?

Kusoma kuelewa usiwe unakurupuka kama Kichomi cha Mbavu.
 
Hata muonekano wa studio wabadilishe pia
hapo kwenye muonrkano sasa ndio penyew kabisaaa...yaani huwezi fananisha na muonekano wa east Africa radio ...hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom