Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Hawa jamaa wanaushabiki wa kijinga,Na kujipendekeza ndio kula yao.Toka nimeanza kuwatazama na kuwasikiliza wamekuwa wakiegemea zaidi kwa Ccm tu,Tena kuelekea uchaguzi mkuu ndio wamezidi kuonyesha mahaba kwa Ccm.
Interview zao nyingi wanafanya na watu wa ccm,Wakibadili kwa mbaalii..watamwita Zitto Maswali yenyewe wakiuliza ni yakubebana tu..Hovyo kabisa au Joseph hiyo Tv na radio ana featuring na Ccm?Badilikeni bila hivyo mtabaki jumba la makumbusho kama TBC.Kuweni huru kama ITV,Star Tv na Chanel Ten.
Interview zao nyingi wanafanya na watu wa ccm,Wakibadili kwa mbaalii..watamwita Zitto Maswali yenyewe wakiuliza ni yakubebana tu..Hovyo kabisa au Joseph hiyo Tv na radio ana featuring na Ccm?Badilikeni bila hivyo mtabaki jumba la makumbusho kama TBC.Kuweni huru kama ITV,Star Tv na Chanel Ten.
Last edited by a moderator: