Clouds mnaudharaulisha Wimbo wa Taifa

The problem hii serikali haiwezi tena kemea kitu chochote, this is because every business ina mikono ya wakubwa ama wanakula na wakubwa ama ni za watoto wa wakubwa. Na serikali ya muuza sura ndo bure kabisa( pipa na mfuniko) haichukulii kitu chochote serious, mkuu wa kaya muoga,utendaji wake dhaifu,viongozi wake ni wale wale(wanafanana naye kiuwezo wa utendaji,na baadhi ni shemeji zake,ndugu zake na mahawara zake!! Kwa utawala huu ni sawa na kufananisha nyumba ambayo baba ni mlevi na anadharauliwa na watoto kwa kuwa hurudi amejinyea na ku misbehave, heshima itakuwa wapi tena?????
 
Miaka 50 ya Uhuru chini ya Udhamini wa Radio ya Wafu!!..Wamejipa shughuli utadhani wao ndio kamati ya maandalizi!

Kuutengenezea Remix Wimbo wa Taifa ni umbumbumbu uliopitiliza....
 
hivi hii radio bado mnaisikiliza tu ..

tunaisikiliza kama ajali tu mkuu wakati mwingine tunakua kwenye daladala, na unajua hii radio inapendwa na makonda wa daladala pamoja na mademu wa saloon za kike...
 
Nimeusikia.Hawautendei haki wimbo wa Taifa kama alama muhimu ya Taifa.Wapuuzi kweli.Ndio matatizo ya kuchanganya kazi na bange.

Me nilikuwa tu kwenye daladala nikasikia tu, maana home nilishaweka tangazo "MARUFUKU KUSIKILIZA CLOUDS HUMU NDANI", Tatizo serekali inacheka nao sijui wana share nao, maana naona sasa clouds inachukua kazi ya redio ya taifa. Wizara husika zipo ila zinakodoa macho kama zimefumaniwa..huyo demu ana sauti mbaya, alfau bado anajikaza, wimbo wa taifa sio bongoflava zenu. Una heshima zake, kwanza ukipigwa unatulia kwa heshima...Acheni kuchezea watu nyie vilaza wa media.
 
tunaisikiliza kama ajali tu mkuu wakati mwingine tunakua kwenye daladala, na unajua hii radio inapendwa na makonda wa daladala pamoja na mademu wa saloon za kike...

Pia kuna mwanaJF amesema hata wanafunzi wa Form 1 na 2 wanasikiliza hiyo redio. Hivyo ni hatari kwa jamii yetu kuruhusu redio zinazopotosha kuwa hewani maana hao wadada wasaloon ndio wamama/ au watarajiwa wamama wa watoto wa jamii yetu.

Kuua jamii ni rahisi sana kwa "kutwist" akili za wamama na watoto. Tuwe waagalifu kwa kuzipiga ban TV stations, redio na magazeti ya yenye mlengo wa upotoshaji.
 
Mnawalaumu bure watangazaji na uongozi wa clauds.

Mkitaka kujua mchele na pumba na kujua nguvu na kiburi cha kufanya hivyo hebu tafuten CV zao muangalie ndiyo muwalaum.

Kawalaum watangazaji wa clauds ni sawa sawa na kumlaum kichaa kwanin mchafu..

Yaani nanyie na hiyo redio yenu mnaboa sanaa.

Mnawasikiliza machizi nakuanza kulalamika eti wanaongea ma2si.Nakuwashtaki hapa jamvin.
 
Hawajautendea haki bila aibu nao wanaendelea kuupiga
 
Namkubali Lady JD ila kwa hii remix zing zong ya wimbo wa Taifa natofautiana naye pasee(100%),Pili Wafu FM wanamchezea sharubu mzee wa msoga kwa sababu mbwa ukishamjua jina akusumbui..
 
Wakuu wa nchi wako wapi?au nao wanafurahia hayo madudu ya clouds?shame on them.
 
Yaaani wewe upo juuu sana unajua mimi niliusikia sana nilikasilika saana na nilikua bado cijajiunga na Jamii Forum na kujua jinsi ya kuitumia lakini Wananikeraaaaaaaaaaaaaaaaaa na kwakweli aliyeimba sijui na binti gani aruuuuuuuuuuu sijui kama wanajua maana ya wimbo huo, sijawahi kusikia wimbo wa taifa lolote ukaimbwa kinyume na kama ulivyoo ndoo kwanza nasikia wakwetu. kiukweli wananikelaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ningekua na namba ya mtu yeyote au mkurugenzi wao ningempigia kumwambia.
 
Kweli huo wimbo mi pia huwa unanikwaza sana, embu pata picha kesho uimbwe vile uwanjani,dharau kubwa sana.


uzalendo uliishia enzi za mwinyi, huoni bendera ikiwa inashushwa sasa hivi na zamani tofauti yake ikoje???mambo magum sana kaka kila kitu kimeporomoka!
 
vyombo vinavyohusika vifuatilie hii kitu. Si vizuri wimbo wa taifa udhalilishwe namna ile...
 
Nashangaa mpaka sasa Nyani Ngabu ajileta kiherehere chake kwenye thread hii!! kweli box limekubali kwa Obama.
 
Upuuzi mtupu wimbo wa taiga kuchezewa vile na pia nimaona matangazo(banners) za mchezo wa kuigiza wenyewe wanaita sinema eti mr president Ina nembo ya Bibi na bwana ambayo Mara nyingi naiona katika nyaraka za serikali huu ni upuuzi mwingine
SERIKALI LEGELEGE
 
Back
Top Bottom