Mtu wa Kigamboni
Member
- Jul 24, 2015
- 80
- 38
Hivyo vyote ulivyovitaja vina-exclusive rights kuonyeshwa kwenye TV in anabidi ilipwe hela kubwa, hivyo Kituo cha TV inabidi kipate mdhamini wa uhakika kurusha hewani au ITV iwe paytv baraka ya freetoair! Ndiyo maana DSTV wanaonyesha kwa vile wana wadhamini wa nguvu kama Coke Cola, Castle Lager, Sprite, Sumsung, n.k. lakini pia DSTV ni paytv unaweza nunua exclusive rights za hizo program au competitions (World Cup, EPL, NBA, UEFA, IAA, Uefa)....Hizo nishani na tuzo ni kwa vigezo vyao, ila ki ukweli ITV ya 90s to early 2000s ilikuwa zaidi ya hivi sasa, ITV ilikuwa inarusha world cup, Uefa, NBA, IAA sasa ipo kwa mazoea tu, inawezekana inapata tuzo kwa jina na nguvu za mzee baba wawili.