Debwadebwa
Senior Member
- Sep 29, 2014
- 193
- 235
Yapo ya viumbe hai
Kwani huko hakuna makazi ya binadamu??
Kwani huko hakuna makazi ya binadamu??
Ngoja sebastian maganga aje kujibu swali lako.
Wanamuita master mind wao ndo maana
Wacha tuone kama wasafi ndio wamewaliza kiasi hiki ni noma!Ni wanyonge sana leo, ata zile amsha amsha zao hazipo kabisa, kama ni hili tamasha basi limewavunja moyo sana,.
Waliotoa kibali ndio hao hao.wamesitisha mengine ni dhana yako tu !Nafikiri CMG wamefanya uamuzi mgumu lakini ni sahihi kabisa kusitisha kilele cha tigo fiesta kuliko kile ambacho kimeonekana kama ni altenative ya kuhamishia Tanganyika peakers (kawe) wakati walikuwa washafanya maandalizi pale leaders club..
Waswahil wanasema ni bora kuwa maskini jeuri kuliko kuwa tajiri mtumwa.. Wangeenda Tanganyika peakers watawala wangefanikiwa kupata wanachokitaka kuwafanya wawe watumwa wao.
Hilo jibu mkuu " pigia mstari " Ijapo kuwa clouds ruge inaweza kuwepo lakini itakuwepo ile yenye taswira ya kukonda na sio hii iliyonenepa kwa mafanikioKwa hiyo bila Ruge hakuna Clouds
Bavicha mna nongwa jamaa ! Daaah...Kwa kweli Naanza kuwaonea huruma Clouds...Ruge huko aliko anaweza kufa presha kabisaa..! ila bashite ni Nyokaaa shetanii yulee khaa...Alivokuwa anacheka na kuwapa promo eti moja Kubwa kumbe moyoni ashajipanga kuwaangusha Clouds mamaeee nlijuaa tu ma....kuuu yuleee...!
Mahakama ipi?Kwani Clouds hawawezi kwenda Mahakamani?
Bavicha aliekutotoaa...Bavicha mna nongwa jamaa ! Daaah...
....aliye kukunyaa.!Bavicha aliekutotoaa...
umejaaa upepoo tayarii....aliye kukunyaa.!
Kwahiyo hata Matiko na Mwenyekiti mmewaweka kando kwanza!Tuko bize na makatoooo ya mafao ya watumishi wetu kwanza...
Mambo mengine hayo badaye
Ova
Mswahili wa tandale sio mbagalaClouds waswahili vs mond mswahili wa mbagala
Nadhan mswahili zaid mond kashinda clouds wanalakujifunza
Namuonea huruma ney wa mitego Jana karopoooka Leo kiko wapi
Mkuu hapo ulipo unaeleakea 80, bado unafuatilia tu fiesta?Kuna uhusiano gani wa kuairishwa tamasha la fiesta na kupewa salam za pole kwa Ruge binafsi...
Karibia wasanii wote wa fiesta na watangazaji wa clouds salamu za pole zimeenda kwa Ruge binafsi na sio kampuni kwa kuingia hasara.
Au tamasha limearishwa kwa maombi maalum kwa Ruge...
Nimejiuliza tu kwa sababu napenda kudadisi.