kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,089
Mfana ccm kirumba haipo karibu na makazi ya watu??Huko mikoani si lilikualinafanyika kwenye viwanja vya mpira auu
Mfana ccm kirumba haipo karibu na makazi ya watu??Huko mikoani si lilikualinafanyika kwenye viwanja vya mpira auu
Sio rahisi kulisema hilo leo, nyimbo wanazopiga tu zinaashiria kuna jambo limefichwa!Wametoa taarifa kuwa ni upotoshaji,
Yeye ni nani hata wafiche kusema, Nyerere mwenyewe tuliambiwa faster!!Waseme tu Kama Ruge hatunaye tena tujue moja...!
Sio rahisi kusitisha tamasha last minute ...! Maanake hata nyimbo zinazopigwa Clouds leo sizielewi.. zinanikumbusha kifo cha Mwalimu..!
Ni wanyonge sana leo, ata zile amsha amsha zao hazipo kabisa, kama ni hili tamasha basi limewavunja moyo sana,.Sio rahisi kulisema hilo leo, nyimbo wanazopiga tu zinaashiria kuna jambo limefichwa!
KarmaFiesta ilifanyika Abeid at the big expense ya hao madogo walio kuwa wameandaa tamasha lao, ambalo lilikuwa lifanyike a day before Fieasta
Fiesta kwa kutotaka wasiwe na bugudha yoyote kwa sababu tamasha la hilo jingine lingeathiri maandaliz yao,
Wakafanya figisu madogo wakanyang'anywa uwanja masaa mawili kabla tamasha halijaalnza
Na walikuwa walikuwa wameingia gharama kubwa ikiwemo kuleta wanamuziki wa injili toka South Africa na Kenya
Sbb hata sijazielewa vizur
what if kuahirisha kwao kunatokana na sababu nyingine za boss wao kuwa ndo hivyo tena?(God forbid)
Wewe umetumwa na mabeberu
Naona kabisa harufu ya hii kitu!!!Kweli Adui hauwezi kumuuwa ukikaa nae mbali we tengeneza urafiki nae kisha muuwe
Kwani ummaliza wakati upo nae mbali utajenga suspicious kwamba wewe ndie muhusika ila ukiwa nae karibu waweza msaidia kuzima moto kumbe wewe ndio umeuwasha ....
KarmaFiesta ilifanyika Abeid at the big expense ya hao madogo walio kuwa wameandaa tamasha lao, ambalo lilikuwa lifanyike a day before Fieasta
Fiesta kwa kutotaka wasiwe na bugudha yoyote kwa sababu tamasha la hilo jingine lingeathiri maandaliz yao,
Wakafanya figisu madogo wakanyang'anywa uwanja masaa mawili kabla tamasha halijaalnza
Na walikuwa walikuwa wameingia gharama kubwa ikiwemo kuleta wanamuziki wa injili toka South Africa na Kenya
Hahaha mtoa comment kwani unateseka !!?Mwandishi Kwan unateseka
basii sasa kimwili tupo dar akir ipo nang'wanda sijaonaHawataki uzielewe