Clouds Media Group walia na ugumu wa biashara, Kusaga adai wanaweza kufunga hali ikiendelea hivi

Kinga'muz chako ndio chanzo cha taarifa, ukiwa unaangalia Chanel flan wanaona kingamuz namba flani kipo chanel flan, kwa hivyo hupelekea kujua idadi ya viwers kwa wakati husika, lkn pia kunakuwa na assumpition katika kuongeza idadi kwa kusema kuwa tv kwa Tanzania hutumika na zaidi ya mtu mmoja kwa baadhi ya mida kama vile mida ya taarifa ya habar, mpira, tamthilia n.k kwa wakat huo huassume idadi ya watazamaj labda 2 au zaid kulingana na kipindi alaf wanazidisha na idadi ya vinga'muz vilivyo ewan kwa muda huo wanapata viewers kwa tangazo lao lililorushwa mida hiyo
Nimekupata mkuu, nimeelewa.
 
Mwambie yule Hassan Ngoma aendelee kuunga mkono na kuponda upinzani na kama ikitokea wamepunguza wafanyakazi waanze na huyu Ngoma
 
Ivi hawa Tcra wanalengo la kumsadia mtumiaji ama kamgandamiza kwa kukisa huduma, maana naona wamepiga kelele kuzitoa ili zisilipiwe iweje wakae kimya kuzirejesha, binafs wananiboa sana hawa.
 
Wafunge tu!
Nakumbuka tundu lissu alisema hili mapema kama tuungane kukosoa ila hawa clouds hata press conference za lissu walikuwa hawaripoti!

Leo wameguswa wao ndio wanashtuka!!
Mimi nakwambi hata hawa wanasifia sasa hivi kuna siku watalia na kusagaq meno
 
Naona mambo yamekuwa kinyume

Tulisema tukasemwa, sasa ni zamu ya waliokuwa wakitusema kusema wao.

Huu wimbo hauhitaji hasira!

Baada ya hawa waliokuwa wakisifu kuanza kuguswa na hali mbaya ya kiuchumi, serikali ndio itaanza kulalamika kwamba nchi haina fedha.

Tukishanywea wote serikali itaanza kuhaha maana watu wanafunga mabiashara, wawekezaji wanatoroka na wengine kuondoka waziwazi, watu wanapunguzwa kazini na wahisani wanakata mirija

Huu wimbo tulianza kuimba wakatukebehi na vitisho juu.
Zamu ya vibendera na vichumia tumbo ndio imefika ya wao kuimba,,,,,zamu inayokuja ni ya serikali kuweka wazi kwamba mambo yameenda kombo

Ushamba ni mzigo sana hasa ushamba unapochanganyikana na jeuri na ulimbukeni

Bado kitambo kidogo kila mtu ataimba kwa ufasaha
Haya maisha haya...nakumbuka kipindi kilr Bashite akizunguka na Clouds wakitukana watu na kuwadharirisha leo hii na wao wanalia
 
Nipo live hapa tibisiii naangalia TAFAKURI. huyu mzee yupo tangu naanza kusikliza redio za mninga.
 
Kuna mijinga iliyokimbia shule (inajijua) inakuambia imekua hivi kutokana na athari za matumizi ya internet. Mimtu mingine sijui imejaaa shahawa matakoni kupelekea IQ zinakua ndogo!?
Wengine wanakuambia ni Wasafi ndo wamesababisha...Yaani sijui wanatumia akili gani

Point ni issue ile ya kuondolewa kwa local channels kwenye Azam,Zuku na DStv..
 
Back
Top Bottom