Clouds Maktaba Kutafuta Chanzo Cha Harakati za Uhuru

Clouds Maktaba Kutafuta Chanzo Cha Harakati za Uhuru

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
22,454
Reaction score
32,980
EMMANUEL SHONDE WA CLOUDS AMEFIKA MAKTABA KUTAFITI CHANZO CHA HARAKATI ZA UHURU WA TANGANYIKA

Kijana Emmanuel wa Clouds leo asubuhi kaniweka kitako akinipiga maswali na kunihoji kuhusu historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Emmanuel kasukumwa kuja kunihoji baada ya kusoma kitabu cha Abdul Sykes.

Muda ulikwenda haraka mno.

Nagutuka Emmanuel ananiambia ana audio na video ya zaidi ya saa moja ya mazungumzo:


View: https://youtu.be/McIe20TS-5Y?si=prow5tRLkJUFzevK
 
nimetoka kuangalia mahojiano yako uliyofanya na masoud kipanya muda si mrefu uliopita
 
Back
Top Bottom