Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Sisi huku tumechokaaaa na story tunazopigiwa na wenzetu wanaotoka Dar es Salaam na Magazeti Yote ambayo yanaandaliwa Dar na kufika huku mikoani. Mara tuambiwa kuna kitu kinaitwa LEO TENA, Mara Njia Panda, kisha tunaona mshindi wa kipindi bora cha kijamii katoka clouds, mara hekaheka haya sie tunasoma tunakubali. Lakini cha ajabu tukasoma historia kama hizo kwamba kuna Mtu anaitwa RUGE Mutahaba, kwamba huyu ndiye mdau muhimu hapo clouds, Jina tukilicheki kama la hukuhuku tulipo lakini redio hiyo haisikiki, acha maeneo mengine basi hata Bukoba Mjini ili tukifuata vi - Mshahara vyetu tusikie walau ... hakuna, tunaambiwa kuisikia clouds mpaka uwe na Dish mara uende TBC1 audio yaani misamiati mitupu. Sasa tunaoenda ofisini tubebe madish? Mara tukaona mtu anaitwa Dina Marios kwenye magazeti hasa lile la sana kwenye sehemu inaitwa mtu kati..kusoma tukaona huyu dada kwao Buganguzi - Muleba ( anakozaliwa Tibaigana) ahahaaaa... huyu hataki huku tusikie hata sauti yake.
Mara hapa JF tunaona anatajwa Ephraim Kibonde kuwa kuwa brain yake sometimes ni "shake well" source maneno aliyoyasema Clouds Fm wa mikoani wengine kama hapa Bukoba huwa naona wanachangia wanamind na kuchukia kilichosemwa na Kibonde ( Ukiwauliza "uliisikiliza hiyo radio?" anasema huku haisikiki basi nacheka hadi mwisho. Na vitungine tunaambiwa clouds. Sasa nyie clouds wengine watasema ooo sijui nini lakini huyo mtu asiyetaka kwao wasikie mambo yake sijui yukoje. SAIDA KAROLI alijifanya kuweka makao makuu yake DAR wakati nyimbo za asili anazoimba za huku lake zone. Mamamaaaa wakamuingiza mjini hadi sasa kahamishia makazi Tivoli huku Mwanza . Angalau sasa hivi anamake something.
Tunataka na sisi tusikie hiyo redio ili tujue huyo kibonde huwa anateteaje ufisadi na huwa nachemkaje pia tumsikie huyo Marios dina wa kwa Tibaigana na Masilingi.
Mara hapa JF tunaona anatajwa Ephraim Kibonde kuwa kuwa brain yake sometimes ni "shake well" source maneno aliyoyasema Clouds Fm wa mikoani wengine kama hapa Bukoba huwa naona wanachangia wanamind na kuchukia kilichosemwa na Kibonde ( Ukiwauliza "uliisikiliza hiyo radio?" anasema huku haisikiki basi nacheka hadi mwisho. Na vitungine tunaambiwa clouds. Sasa nyie clouds wengine watasema ooo sijui nini lakini huyo mtu asiyetaka kwao wasikie mambo yake sijui yukoje. SAIDA KAROLI alijifanya kuweka makao makuu yake DAR wakati nyimbo za asili anazoimba za huku lake zone. Mamamaaaa wakamuingiza mjini hadi sasa kahamishia makazi Tivoli huku Mwanza . Angalau sasa hivi anamake something.
Tunataka na sisi tusikie hiyo redio ili tujue huyo kibonde huwa anateteaje ufisadi na huwa nachemkaje pia tumsikie huyo Marios dina wa kwa Tibaigana na Masilingi.