Clouds fm ndo radio bora hapa Bongo

Clouds fm ndo radio bora hapa Bongo

Hiyo redio sasa hivi ni kimeo.. imebaki redio ya matangazo
 
Kwenye vipindi vya kama XXL na Planet Bongo mtaskiliza nyie msio na shugul maalum mjini...sijui hapo huwa mnajifunza nn.. Vipindi vyene akili tumami vizo EA radio zaidi, kuanzia EA breakfast, Supermix, ndinga mpya town na Kipenga.. Vipindi pekee vya maana vilivyobakia clouds ni Njia panda na kile cha Harris Kapiga baaas
 
Clouds FM ni radio bora sana ukilinganisha na East Africa radio.Hapa nazungumzia vipindi vya burudani vinavyoanza kuruka kuanzia saa saba mpaka saa kumi. Yaani watangazaji wa planet Bongo wanafiki sana kazi yao nikuwachamba wasanii wakubwa kama Afande Sele kuwa eti hawana swagger.

Alafu nyimbo zao hazina ubunifu kiukwel XXl clouds FM itabaki kuwa radio bora hapa Tanzania wao awana ishu zakuwatukana wasanii wakubwa malegendary kama Afande Sele. East Africa radio full ubaguzi kwa wasaniii yaani washamba sana awa East Africa radio.
mtazamo wako tu mkuu
 
Clouds napenda xxl amplifaya na njia panda
 
Clouds FM ni radio bora sana ukilinganisha na East Africa radio.Hapa nazungumzia vipindi vya burudani vinavyoanza kuruka kuanzia saa saba mpaka saa kumi. Yaani watangazaji wa planet Bongo wanafiki sana kazi yao nikuwachamba wasanii wakubwa kama Afande Sele kuwa eti hawana swagger.

Alafu nyimbo zao hazina ubunifu
kiukwel XXl clouds FM itabaki kuwa radio bora hapa Tanzania wao awana ishu zakuwatukana wasanii wakubwa malegendary kama Afande Sele. East Africa radio full ubaguzi kwa wasaniii yaani washamba sana awa East Africa radio.
Kumbe vituo vya radio siku hizi huwa vina nyimbo zao
 
Eti nyimbo za Ea radio sio nzuri, kwani radio ndio inanyimbo au wasanii? Kwanza Ea radio ni chuo hao unaowaona wengi Wa watangazaji wametoka Ea radio, sema promo na hisia zimekutawala, labda niolewe ndio naweza sikiliza rubbish radio dizaini ya clouds
 
hv mamy baby na Kennedytheremedy walikua wanatangaza kipindi gan Ea radio
 
Back
Top Bottom