Clouds FM na Kuipromote CCM,TCRA mpo wapi?

Clouds FM na Kuipromote CCM,TCRA mpo wapi?

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
60,363
Reaction score
88,545
Umofia kwenu wana JF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu hiyo radio kutumikia ccm,leo nikiwa kwenye daladala,nimesikia kwa masikio yangu,clouds fm ikipiga nyimbo za kampeni za ccm kujiandaa na uchaguzi mkuu, TCRA naomba ufafaunuzi kutoka kwenu,nakumbuka Ruge mkurugenzi wa clouds alisema radio yao wameisajiri kwa malengo ya burudani,sasa iweje kwa sasa wawe wanafanya promotion live za chacha cha ccm au wameupdate leseni yao? Najua chama wanaweza wakanunua kipindi kwa ajili ya malengo ya kufikisha ujumbe katika radio yeyote lakini kile kipindi kilikuwa sio cha chama ni cha kila jumamosi.
 
Last edited by a moderator:
Fedha wanazotengeneza kwenye fiesta inayofanyikia kwenye stadiums zinazomilikiwa na CCM...
 
Kituo cha redio nchini Clouds FM kimeanza kuinadi CCM katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu, hii ni baada ya kuzipiga nyimbo za CCM za uchaguzi ambazo zimeimbwa na Komba. Wimbo huo unaitwa "wavimbe wapasuke" huku Komba akisema kuwa CCM imeshinda 80% ya serikali za mitaa na kila mtu anajua hivyo na wapinzani wao UKAWA wameshinda 20% ambazo wamekuwa wakishinda tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.
 
nakumbuka Ruge mkurugenzi wa clouds alisema radio yao wameisajiri kwa malengo ya burudani

Mimi nikisikia nyimbo za CCM huwa ni burudani ya uhakika kwangu.Clouds endeleeni kupiga nyimbo za CCM wengine tunaburudika barabara.Mimi ni mpenzi wa nyimbo za CCM sipendi ndombolo wala zile za kufoka foka.Nipeni raha na burudani CLOUDS naomba mpige sana nyimbo za kuburudisha za CCM HASA napenda sana ule wimbo wa NAMBARI ONE EEEEEEEE NAMBARI ONE NI CCM!
 
Unajua nyimbo za siasa hazina tofauti na nyimbo za taarab, kwa sababu ujumbe uliyopo unaweza ukamlenga mtu/watu au sivyo.
 
Umofia kwenu wana JF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu hiyo radio kutumikia ccm,leo nikiwa kwenye daladala,nimesikia kwa masikio yangu,clouds fm ikipiga nyimbo za kampeni za ccm kujiandaa na uchaguzi mkuu, TCRA naomba ufafaunuzi kutoka kwenu,nakumbuka Ruge mkurugenzi wa clouds alisema radio yao wameisajiri kwa malengo ya burudani,sasa iweje kwa sasa wawe wanafanya promotion live za chacha cha ccm au wameupdate leseni yao? Najua chama wanaweza wakanunua kipindi kwa ajili ya malengo ya kufikisha ujumbe katika radio yeyote lakini kile kipindi kilikuwa sio cha chama ni cha kila jumamosi.

Mbona hujalalamika wakati kituo maarufu nchini hualika wanasiasa wenye mrengo mmoja kwenye masuala ya katiba, uchaguzi uliopita na mengineyo??????????? do you still call balanced journalism au ushabiki????????????
 
Mimi nikisikia nyimbo za CCM huwa ni burudani ya uhakika kwangu.Clouds endeleeni kupiga nyimbo za CCM wengine tunaburudika barabara.Mimi ni mpenzi wa nyimbo za CCM sipendi ndombolo wala zile za kufoka foka.Nipeni raha na burudani CLOUDS naomba mpige sana nyimbo za kuburudisha za CCM HASA napenda sana ule wimbo wa NAMBARI ONE EEEEEEEE NAMBARI ONE NI CCM!
unajulikana mwehu sasa kwanini usiburudishwe na mwehu
 
Alikuwemo Komba studioni eti ndiyo alikuwa akitambulisha single ya uchaguzi mwaka huu.
Hii ndiyo taabu ya wanawake, mfano Mimi Leo hii nipo home maana ni weekend no job hivyo nipo nafamilia ndiyo nakuta wife kaweka Cloudccm hawa na ndiyo yamenikuta haya kusikiliza ujinga wa akina Komba. Clouds nilishawapuuza toka muda mrefu na U-CCM wao huo.
 
Mimi nikisikia nyimbo za CCM huwa ni burudani ya uhakika kwangu.Clouds endeleeni kupiga nyimbo za CCM wengine tunaburudika barabara.Mimi ni mpenzi wa nyimbo za CCM sipendi ndombolo wala zile za kufoka foka.Nipeni raha na burudani CLOUDS naomba mpige sana nyimbo za kuburudisha za CCM HASA napenda sana ule wimbo wa NAMBARI ONE EEEEEEEE NAMBARI ONE NI CCM!

Naam huwa unakata na mauno kwa jinsi nyimbo hizo zinavyokuingia!
ImageUploadedByJamiiForums1422082404.514300.jpg
 
Mbona hujalalamika wakati kituo maarufu nchini hualika wanasiasa wenye mrengo mmoja kwenye masuala ya katiba, uchaguzi uliopita na mengineyo??????????? do you still call balanced journalism au ushabiki????????????
mlikuwa mnakwepa midhahalo kwa maana vichwa nazi
 
Mbona hujalalamika wakati kituo maarufu nchini hualika wanasiasa wenye mrengo mmoja kwenye masuala ya katiba, uchaguzi uliopita na mengineyo??????????? do you still call balanced journalism au ushabiki????????????

Mkuu vipindi huwa vinanunuliwa na taasisi so sio tatizo kama wamenunua,ila kwa hii clouds kile kipindi sio cha kununua,tofautisha vipindi vya warioba(vipindi maalimu,havipo timely basis) kama hiko cha clouds kila jumamosi.
 
Umofia kwenu wana JF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu hiyo radio kutumikia ccm,leo nikiwa kwenye daladala,nimesikia kwa masikio yangu,clouds fm ikipiga nyimbo za kampeni za ccm kujiandaa na uchaguzi mkuu, TCRA naomba ufafaunuzi kutoka kwenu,nakumbuka Ruge mkurugenzi wa clouds alisema radio yao wameisajiri kwa malengo ya burudani,sasa iweje kwa sasa wawe wanafanya promotion live za chacha cha ccm au wameupdate leseni yao? Najua chama wanaweza wakanunua kipindi kwa ajili ya malengo ya kufikisha ujumbe katika radio yeyote lakini kile kipindi kilikuwa sio cha chama ni cha kila jumamosi.
Wewe no chizi sasa kama radio inafanya biashara na ccm wakitaka promo tatizo niwapi
 
Last edited by a moderator:
ifungiwe hii radio,

maana muda wa kufanya kampeni za uchaguzi mkuu bado..
 
Hawajifunzi kwa Juma Nature, hawajifunzi kwa akina Masanja mkandamizaji kwa kukubali kutumika na Tawala kilichowapata?
 
Mkuu vipindi huwa vinanunuliwa na taasisi so sio tatizo kama wamenunua,ila kwa hii clouds kile kipindi sio cha kununua,tofautisha vipindi vya warioba(vipindi maalimu,havipo timely basis) kama hiko cha clouds kila jumamosi.
Kama hivyo ndivyo pengine ccm inanunua muda wa kupigwa nyimbo hizo hewani na clouds ni wafanyabiashara na wamtumia fursa hivyo kibiashara zaidi
 
Back
Top Bottom