CLOUDS Fm, Mmezidisha matangazo mpaka mnaboa sasa!!!

CLOUDS Fm, Mmezidisha matangazo mpaka mnaboa sasa!!!

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
3,098
Reaction score
631
Wana JF,
Kila mtangazaji ndani ya Redio Clouds anafanya matangazo ya biashara. Tangazo linapigwa na kisha mtangazaji analirudia tena na tena...Kulikoni??? Au nyie mnalipwa tofauti na wenye makampuni???

Napenda sana kusikiliza kipindi cha michezo "Sports Extra" lakini nacho siku hizi ni matangazo tuu mwanzo mwisho. Hakika mnaboa sana!!

Najua mnategea matangazo kama faida lakini tangazo likisha chezwa kama lilivyo haina haja mtangazaji kulirudia tena yeye kama yeye. Watangazaji wote wa Clouds ni Maafisa Masoko wa kampuni tofauti tofauti.

Badilikeni Clouds Fm mnapoteza ladha sasa.

Mandla,
Wa Dodoma.
 
clouds wapuuzi sana...hasa wale akina luambano wanaharibu kipindi cha michezo nowadays
 
clouds wapuuzi sana...hasa wale akina luambano wanaharibu kipindi cha michezo nowadays

Siku hizi kipindi kinaboa kweli...Wako wanne na kila mmoja anafanya matangazo ya biashara.
 
vipindi vyote vinaboa sana zamani nilikua nasikiliza sana kama power breakfast ,jahazi, na sport extra lakini kutokana na matangazo kuzidi kidogo nimebakisha michezo na yenyewe ni lle ya kimataifa .KUNA WATU KAMA BABRA NA GERALD HANDO NAFIKIRI WAO WANALIPWA PESA YA ZIADA MAANA KIPINDI KIZIMA NI MATANGAZO badilikeni jamani mtazid kupoteza wasikilizaji
 
vipindi vyote vinaboa sana zamani nilikua nasikiliza sana kama power breakfast ,jahazi, na sport extra lakini kutokana na matangazo kuzidi kidogo nimebakisha michezo na yenyewe ni lle ya kimataifa .KUNA WATU KAMA BABRA NA GERALD HANDO NAFIKIRI WAO WANALIPWA PESA YA ZIADA MAANA KIPINDI KIZIMA NI MATANGAZO badilikeni jamani mtazid kupoteza wasikilizaji

Mfano, Kipindi cha michezo ni Dk 60 (Saa Moja) lakini Dk 30 wanapiga matangazo na kuyasifia tena hayo hayo
matangazo....hamna hata raha ya kipindi.
 
Hivi hii Clouds Fm & Tv zinamilikiwa na NANI???
 
Poleni kwa kuwa hadi leo mnasikiliza clouds fm. Wengine tulishasahau hadi frequency yake.
 
Hawa washikaji sikuizi wana boa kichizi eti wanajita redio ya watu
Wakati ni redio ya kuuzaa suraaa tuu
 
Wana JF,
Kila mtangazaji ndani ya Redio Clouds anafanya matangazo ya biashara. Tangazo linapigwa na kisha mtangazaji analirudia tena na tena...Kulikoni??? Au nyie mnalipwa tofauti na wenye makampuni???

Napenda sana kusikiliza kipindi cha michezo "Sports Extra" lakini nacho siku hizi ni matangazo tuu mwanzo mwisho. Hakika mnaboa sana!!

Najua mnategea matangazo kama faida lakini tangazo likisha chezwa kama lilivyo haina haja mtangazaji kulirudia tena yeye kama yeye. Watangazaji wote wa Clouds ni Maafisa Masoko wa kampuni tofauti tofauti.

Badilikeni Clouds Fm mnapoteza ladha sasa.

Mandla,
Wa Dodoma.
Mimi nlidhania ya kuwa ni mimi tu ninayekereka na utitiri wa matangazo ... isingekuwa ni mke wangu anapenda kusikiliza hiyo radio ningekuwa nimeshaisahau siku nyingi .... yaani ni shidaaaa
 
Back
Top Bottom