Clouds fm inaniboa kwa wingi wa matangazo

Clouds fm inaniboa kwa wingi wa matangazo

Andie

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
712
Reaction score
1,643
Salaam wanajf,

Jamani natambua umuhimu na jukumu la kutoa habari na burudani hasa kituo bora kabisa cha Clouds, ila tu nadhani jamaa wana matangazo mengi sana yani yakianza ni dk 10 bampa to bampa matangazo. Sijakataa uwepo ma matangazo maana ndo yanayowalipa ila tu nadhani yanapozidi namna hii inaboa.
 
Redio saivi haisikiliziki, yani asilimia karibu 90% ya content ni matangazo tena yanajirudia hadi kinyaa, watangazaji wakiwasha mic kila mmoja anasoma tena tangazo lake wakimaliza wanaongea mazungumzo nonsense tupu afu wanarudia kupiga matangazo na mapambio. Yani hata hao watangazaji nadhani hawajitambui udhalilishaji wanaofanyiwa na mabosi wao wanasema wingi wa matangazo ndo kipimo cha success kumbe wasikilizaji wanapukutika kila uchao.
 
Kwani matangazo pia si habari..mfano unasikia tangazo la shule fulani,chuo fulani..au habari maana yake nini??
 
Bila matangazo hamna Ugali vumilia tu ingawa n Kweli yanaboa
 
Kama hutaki matangazo fungua station yako uwe unajitangazia mwenyewe
nimesema hvyo awali kua wanahitaji matangazo ila yanapozidi inakua haina maana muda wa kipindi mwingi ni matangazo tu.
 
Back
Top Bottom