malimwengu
Member
- Aug 29, 2011
- 21
- 12
Naheshimu maoni yako. Lakini ukumbuke hizi ni zama nyingine i.e. Freedom of press/expression. Kila nchi dunia hii kuna chombo/vyombo vya habari ambavyoo kinakuwa kero kwa watu wengine na at the same time kinakuwa ni raha kwa upande mwingine.
Kuna watu ambao hatupendi :Big Brother Africa, Rush Limbaugh, Sean Hannity, Fox News, Glen Beck, Lura Ingraham etc. lakini at the same time kuna mamilioni ya watu hupenda. Ndizo zama za freedom of press/expression.
MSNBC unaipenda?
is msnbc another version of fox news?????
Yes, but on the other side of the political spectrum. Fox leans right whereas Msnbc leans to the left (Obama's side).
But Msnbc they do allow some criticisms on Obama...and they are a real news network although they do favor democrats...
you cant say that with Fox news...
How often do you watch FOX news? Obviously not a lot because you are oblivious to all the criticisms they dish out against Republicans.