and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,194
- 39,646
Wadau nimekuwa nikisikiliza redio hizi mbili kwa muda sasa lakini kiukweli naona kama REDIO ONE Siku za hiv karibuni kama inaelekea shimoni imekuwa ya kizamani kama RADIO TANZANIA vipindi vya ajabu ajabu watangazaji wanaboa. Ni kwamba Dr. Mengi hana hela ya kuvutia watangazaji mahiri? Joyce Mhavile una jipya liupi au ndo na wewe uzee unakunyemelea? Radio CLOUDS angalau naweza kusikiliza POWER BREAKFAST but vipindi vu=ingine ni ----- mtupu.