Clouds entertainment - ushauri wa bure

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,690
11,028
Wakuu,

mimi ni mdau mzuri tu wa clouds, nawapongeza kwa kazi nzuri wanayofanya kwenye baadhi ya vipindi kama leo tena, pwer breakfast na vipindi vya bongo fleva. pia nawapongeza kwa kuweza kuwa one of the popular city stations katika umri mdogo sana

Ila nasikitika sana ninaposikia vipindi vifuatavyo;
Kile kipindi cha usiku na loveness diva - she is not a good inspiration and educative to young age, hana moral wala professional ethics
Kero kubwa zaidi ni kile kipindi cha gospel track kila jumapili - huyu muandaaji inaonekana ana CD moja tu ambayo huipiga kila jumapili, yani imekua hata rahisi kutabiri the next song; inaonekana hafanyi kazi yake ipasavyo, hatafuti nyimbo wala history ya miziki anayopiga na pia labda yuko kwenye payroll ya msama. Huyu muandaaji wa kipindi hiki ndiyo kero yangu kubwa sana clouds... havuki mipaka, he is predictable and lacks DJs quality

mbadilisheni au futeni kipindi... angalieni for the past four sundays mmepiga miziki ipi, let alone the whole first 100 days za 2010
 
UKIWALAUMU CLOUDS MIMI SASA NTAKUSHANGAA........WAIMBAJI WA-GOSPEL WA UKWELI HAWATOI 10% KWA MA-DJ'S....!
Hivyo wale waliotoa tu ndo utasikia nymbo zao....just like BONGOFLEVA.....! ''IF YOU DONT GIVE TEN PERCENT WEA ARE NOT GOING TO PLAY YOUR SONGS....!''
 
UKIWALAUMU CLOUDS MIMI SASA NTAKUSHANGAA........WAIMBAJI WA-GOSPEL WA UKWELI HAWATOI 10% KWA MA-DJ'S....!
Hivyo wale waliotoa tu ndo utasikia nymbo zao....just like BONGOFLEVA.....! ''IF YOU DONT GIVE TEN PERCENT WEA ARE NOT GOING TO PLAY YOUR SONGS....!''
thansk mkuu, sikupingi kwa mambo ya ten percent... waulize mandojo na domokaya, shida za nature na elevation ya akina belle nine, diamond na marlow

Je, hao akina lil' weezy, fifty cents, usher raymond nao hutoa chochote? Yes they are corrupt but that should not a reason for everything; kuna mengine msimamizi wao anaweza kabisa kufanya monitoring ya nani anapewa airtime zaidi na mziki na burudani imeegemea wapi zaidi

kwenye gospel hatutegemei upuuzi wa bongo fleva na kama hali ndiyo hiyo basi wafute kipindi wanaboa sana... Gospel is divine, na sio upupu wao
 
Nadahni mkuu umeamua kuwamwagia sifa tu clouds mimi kipindi ambacho nasikiliza sana ni gospel cha jpili na nakipenda sana hiki kipindi hicho na sijaona tatizo kubwa kiasi hicho. Sasa wewe una compare kipindi cha Dina na gospel? usimponde mtu wa watu akaanza kunyooshewa mikono ofisini wakati kuna ma vipindi mabovu kuliko uliyotaja. Maana kitu ukikisema kwenye forum unakuwa umehatarisha ajira ya mtu lazima uwe na uhakika na unchokiongea two or three weeks zisikufanye umkosoae mtu hivyo. na vipindi hujataja vyote umetaja vizuri vichache na kibaya kimoja je? ambavyo hujavitaka viko kundi gani? harafu sio fair kutumia lugha kama nakerwa and so so .... Kama ni mpenzi wa clouds wasiliana na mwenye kipindi akupigie nyimbo unazotaka.

thanks
 
Ushauri mzuri sana DN husiokuwa wa majungu ila kujenga na kuimarisha jamii. Asante
 
Clouds fm kiukweli ni watu ambao wapo very corrupt morally.....


Sio morally tu nadhani pia financially ,otherwise why would they call their boss ' the Godfather". This name is indicative of the presence of corruption!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom