Cloning facebook for newgen Tanzania

Najua facebook hawajatumia script za watu. Na pia najua facebook (mark) hawakuanza from scratch, check out facemash.

Afu kuhusu ushauri kuwa nimiliki blog, am not here to handle ip's so as to sell ads, Everything depends on ones vision

I dont know you but from the way i read your ideas, i see you have no vision, I YOU ARE GOOD AT THINKING STUFF THAT ARE OUT OF MY SCOPE.

Sina mpango wa kuwa na hq kubwa kuliko wizara, wala kuwa na wafanyakazi wengi wasiofikiria mbali kama wewe. We unafkiri 2004 facebook ilikua na wokers wangapi?

Kama wote tutakuwa na akili kama zako, basi wote tutafanikiwa kuajiriwa (kama wewe) na kuishia kumtumikia bosi.

Bro, una umri gani?

U see those reds? Hayo ni majibu umeanza kujijibu

1) script- so we umetumia ya watu unajua maana yake? Ni sawa na mtu alonunua kitu duka la jiran then anauza kwake wateja wakijua wataenda kwa jirani maana watu wanapenda zaidi original.

2)sell ads- hapa naanza ku question elimu yako unahitaji mapato ili uweze ku improve bidhaa yako. Sjawahi sikia social network non profit maybe kama una aim ya kuingia guiness wonders of the world. Facebook wanapata zidi ya trilion 5 kwa mwaka na zaidi ya 90% ni matangazo ndo mana leo wapo pale bila income utalipaje host nzuri utalipaje watu?

3) 2004- kumbe unajua idea ya facebook ni 2004 mpaka now ni 8yrs ago na still unajiita una vision kuiga idea ya miaka 8 ilopita. Sasa hivi tunakaribisha html 5 programers waukweli wanagundua app mpya za html 5 ila we umekazana na idea ya 2004.

4) umri- sjajua umeingiaje hapa kama umri kama unavofkiria wewe ndo akili ur wrong maana mack yeye alikua mdogo wakati anaanzisha fb
Huyu bibi besse coper anaingia miaka 116 kwa idea yako ya umri angekua ndo genius
BCooper113.jpg
 
Broo ili kuweza fanikiwa inabidi kupunguza hasiraa,in business you have to have Kalugha ka kimahaba. nimeipenda idea yako sio lazima kila mtu aajiriwe. Ila Inataka fanana na fb. Could you Uumiza kichwa very mo

Kibunango na speedy,
you cant judge kuwa mtu ana hasira kwa kusoma comments, pia kwa mtazamo wangu binafsi biashara inahitaji hasira.
JAPO HAPA SIFANYI BIASHARA. Pia kwa ushauri wangu, epuka ligha za kimahaba on business. BE STRAIGHT FOWARD.

Computer inaelewa 1 and 0 only, basi wanaoifanyia comp kazi na wao wawe hivyohivyo, namaanisha be whiye and black, kama ni no nino, kamaye, yes, HAKUNA LUGHA ZA KIMAHABA.
 
U see those reds? Hayo ni majibu umeanza kujijibu

1) script- so we umetumia ya watu unajua maana yake? Ni sawa na mtu alonunua kitu duka la jiran then anauza kwake wateja wakijua wataenda kwa jirani maana watu wanapenda zaidi original.

2)sell ads- hapa naanza ku question elimu yako unahitaji mapato ili uweze ku improve bidhaa yako. Sjawahi sikia social network non profit maybe kama una aim ya kuingia guiness wonders of the world. Facebook wanapata zidi ya trilion 5 kwa mwaka na zaidi ya 90% ni matangazo ndo mana leo wapo pale bila income utalipaje host nzuri utalipaje watu?

3) 2004- kumbe unajua idea ya facebook ni 2004 mpaka now ni 8yrs ago na still unajiita una vision kuiga idea ya miaka 8 ilopita. Sasa hivi tunakaribisha html 5 programers waukweli wanagundua app mpya za html 5 ila we umekazana na idea ya 2004.

4) umri- sjajua umeingiaje hapa kama umri kama unavofkiria wewe ndo akili ur wrong maana mack yeye alikua mdogo wakati anaanzisha fb
Huyu bibi besse coper anaingia miaka 116 kwa idea yako ya umri angekua ndo genius
BCooper113.jpg

1. Ulishawahi kuona mtu anatumia ama anaiba ama ananunua kitu asichojua kutumia?

2. Akili yako ni pesa mbele, wenye pesa wote kwa taarifa yako walianza kufanya vitu vyao kama hobbie, Soma history za Zuckerberg wako, Bill Gates, Buffet, Elison wa Sun, Larry na Sergey, Steve Wozniak na wengineo. Walipofanikiwa ndo wakaanza ku focus on cash. Kama we mawazo yako pesa tu.. du umepotea,............(umaskini mbaya sana)

3. Kwanza mnakaribisha we na nani, AFU KWA TAARIFA YAKO, HTML5 NI COPY YA IDEA ZA 1990 ZA HTMLANGUAGES, (NDO UNAJIITA CURRENT). search for info ndo andika. Afu keep in mind, GOOD ARTISTS CREATE, BUT GREATE ARTISTS COPY

4. Hata sijaelewa unamaanisha nini, ila kwa kukusaidia, naitwa Sam, nasoma Comp Sc mwaka wa kwanza, Nina umri wa miaka 20. Sasa sijui bibi wa nini hapo. :eek2:
 
Kwa hiyo umetengeneza clone ya facebook ambayo haina watumiaji na haina business plan ya kujiendesha kama ikifanyikiwa maana hosting cost za successful website sio mchezo. Kwanini mimi na watumiaji wengine tuhame fb na kuja kwako? Pia sidhani kama social network zinakuwa na maana kama ni local, nina marafiki na ndugu kila kona ya dunia sasa kwaninini nijiisolate kwenye local social network ambayo sio rahisi mtu ambaye sio mtanzania ajiunge?
 
Kwa hiyo umetengeneza clone ya facebook ambayo haina watumiaji na haina business plan ya kujiendesha kama ikifanyikiwa maana hosting cost za successful website sio mchezo. Kwanini mimi na watumiaji wengine tuhame fb na kuja kwako? Pia sidhani kama social network zinakuwa na maana kama ni local, nina marafiki na ndugu kila kona ya dunia sasa kwaninini nijiisolate kwenye local social network ambayo sio rahisi mtu ambaye sio mtanzania ajiunge?

Bb ina facebook login, big reason kwamba simaanishi uhame facebook
 
its facebook clone.......... come on man, yani umeshindwa kutengeneza custom theme tofauti na hii? mimi pia nnazo facebook clones just for learning purposes... tafuta custom theme man, ukiacha copyright infringement inaonesha una lack createvity....tena iyo script ina template kibao unazoweza kucustomize
 
sam jet ushatuambia we unasomea computer and still u r cloning how can u ever manage kucreate website zako kwa ufanisi wako hivi unataka kuniambia umeshindwa kutengeneza website hata yenye full page ina pcha lako kubwa tu ila unawaza clonning dah man tengeneza chako. Ishu nyingine ni kwamba najua ukimaliza kusoma itabidi uwe capable kufanya website design nakwambia kama utakua unajilisha we na mke wako kwa clonning utapigwa kibindo mpaka polisi ogopa sana copy rights kaka
 
sam jet ushatuambia we unasomea computer and still u r cloning how can u ever manage kucreate website zako kwa ufanisi wako hivi unataka kuniambia umeshindwa kutengeneza website hata yenye full page ina pcha lako kubwa tu ila unawaza clonning dah man tengeneza chako. Ishu nyingine ni kwamba najua ukimaliza kusoma itabidi uwe capable kufanya website design nakwambia kama utakua unajilisha we na mke wako kwa clonning utapigwa kibindo mpaka polisi ogopa sana copy rights kaka

ni rahisi kubadili wordpress , drupal au hata joomla kuwa social network of ur own style kwa level unayotaka tena bila kuwa na ujuzi mkubwa wa coding and all that, wakati najifunza html zamani nilikuwa "naiba" page zinazonivutia kwenye net kisha nazicustomize then nazirudisha yani inaonekana na originality kidogo then inaweza kuwa developed kidogo kidogo sio kuchukua entire script uwaambie watu ni faacebook ya kibongo
 
sam jet ushatuambia we unasomea computer and still u r cloning how can u ever manage kucreate website zako kwa ufanisi wako hivi unataka kuniambia umeshindwa kutengeneza website hata yenye full page ina pcha lako kubwa tu ila unawaza clonning dah man tengeneza chako. Ishu nyingine ni kwamba najua ukimaliza kusoma itabidi uwe capable kufanya website design nakwambia kama utakua unajilisha we na mke wako kwa clonning utapigwa kibindo mpaka polisi ogopa sana copy rights kaka

shiny c, kwanza YOU SHINE SO MUCH.
Pili, sio kwamba siwezi tengeneza website yangu mwenyewe. Nimetengeneza na nina manage website ya shule na ina database ya ku review na posting of results kwa sms na email na web yenyewe, nimetengeneza na nina manage web za tours tatu.
Nasoma Comp Sc, Upande wa Engg, Nikiwa na mke wangu nitakuwa nafanya kazi lakini sio web design, hata sasa sio web design nafanya au napendelea, I DO WEB PROGRAMMING,
SIITAJI KUMALIZA KUSOMA NDIO NIWE CAPABLE KAMA UNAVYOSEMA.
Afu goal yangu haikuwa kutengeneza web angalau ya page moja ka ulivyosema, nlishafanyaga hayo nikiwa 16, sasa nikiwa 20 siwazi STATIC WEB DESIGN, nawaza DYNAMIC WEB DESIGN. Check out the source and review.
NASEMA TENA FOR THE SAKE OF YOU, GOOD ARTISTS CREATE, GREATE ARTISTS COPY.

Shiny C, naomba unisaidie kujibu.IVI JAMII FORUMS WALIANZA FROM SCRATCH? IVI WAO NDO WAKWANZA KUWA NA FORUMS?
 
ni rahisi kubadili wordpress , drupal au hata joomla kuwa social network of ur own style kwa level unayotaka tena bila kuwa na ujuzi mkubwa wa coding and all that, wakati najifunza html zamani nilikuwa "naiba" page zinazonivutia kwenye net kisha nazicustomize then nazirudisha yani inaonekana na originality kidogo then inaweza kuwa developed kidogo kidogo sio kuchukua entire script uwaambie watu ni faacebook ya kibongo

Kweli we bado Mtoto, six,
Kwanini zamani ulikua unaiba html staticpages? We utakua kweli hujaangalia vizuri, ama hujaangalia ki pro..., Yani umesema nimechukua entire script? kweli, nimeichukua wapi? facebook? nimeichukua phpfox, Na ndio, inafanana na fb, ila sio entirely kama unavyosema, LAKINI KWA LEVEL YAKO, HUENDA INAFANANA ENTIRELY NA FB.
 
its facebook clone.......... come on man, yani umeshindwa kutengeneza custom theme tofauti na hii? mimi pia nnazo facebook clones just for learning purposes... tafuta custom theme man, ukiacha copyright infringement inaonesha una lack createvity....tena iyo script ina template kibao unazoweza kucustomize

I accept the critics, ila tatizo watu wamezoea UI ya facebook! uki twist kidogo tu, ushachanganya watu. Wewe unaelewwa interface yoyote coz you r a software designer, ila sidhani bro wako ataelewa interface mpya kweli?
 
Kweli we bado Mtoto, six,
Kwanini zamani ulikua unaiba html staticpages? We utakua kweli hujaangalia vizuri, ama hujaangalia ki pro..., Yani umesema nimechukua entire script? kweli, nimeichukua wapi? facebook? nimeichukua phpfox, Na ndio, inafanana na fb, ila sio entirely kama unavyosema, LAKINI KWA LEVEL YAKO, HUENDA INAFANANA ENTIRELY NA FB.

i pitty you brother, najua unatumia phpfox tena nulled...ila jambo la msingi ni iyo theme ya facebook, ndo umeniangusha tafuta theme tofauti, jaribu kuicustomize ifanane kibongo bongo lakini ukifananisha na facebook maana yake unataka kuwaambia watu unatamani kitu kama facebook

kwa taarifa yako: nilikuwa naiba code miaka iyo zamani nikiwa sekondari hata kabla sijajua chochote kuhusu designing, nilikuwa nafanya for fun with my friends miaka kumi iliyopita.....brother mi naelewa wazo lako na malengo yako ni mazuri ila mh....hapo hata ukitaka sponsors wakikuuliza umeiba idea fb utawajibuje? yani ungejua ungewasikiliza wadau wanachokwambia.
 
I accept the critics, ila tatizo watu wamezoea UI ya facebook! uki twist kidogo tu, ushachanganya watu. Wewe unaelewwa interface yoyote coz you r a software designer, ila sidhani bro wako ataelewa interface mpya kweli?

watu kuzoea sio ishu, mbona twitter na mitandao mingine ya kijamii ilikuja baada ya facebook na imehit kaka...zamani zilikuwepo myspace, ikahit watu wakatengeneza clone, ikapotea, hi5, sasa watu wanatengeneza clone ya fb na twitter bila kujua kama ikitokea ingine watasahau hii wahamie kupya........sasa itabidi uchape code clone za mtandao mpya tena
 
1. Facebook ilianza from the scratch. Ni idea tu ndio aliiendeleza kutoka facemash. At the age of 7 wakati wenzake walikuwa wanacheza games, yeye alikuwa anazitengeneza. Alitengeneza plugin ya winamp inaitwa synapse amayo ilikuwa na uwezo wa kutamua ni miziki ya ladha gani unaipenda. THE POINT IS, Mark Zuckerberg hakutumia script.

2. Muonekano wako umefanana saaaana na facebook. Mpaka ile picha ya mabara ya dunia na alignment ya form zake umefanana! Unajaribu kuuza bidhaa yako kwa kuitangaza ya mwingine. It doesn't work.

3. Jiulize haya: Bongobest ina kipi ambacho Facebook haina? That is, nini kitafanya watu waiache Facebook waje kwako?

4.Also, umesoma copyright policy za Facebook? Kwa sababu when the site gets big na FB wakaona wanapoteza TZ users kwako, trust me they will hunt you down and SHUT you off.

5. Nimejaribu kutembelea moja ya pages hii(http://www.bongobest.com/index.php?do=/about/). Although imeleta error 404 (Not found) hiyo sio concern. Ni kwamba, unaweza ukaweka SEF Urls (Search Engine Friendly)ya in such pages? Yaani badala ya http://www.bongobest.com/index.php?do=/about/ iwe 000webhost.com - free web hosting provider.

6. Nimegundua hauna favicon na logo yako mwenyewe kama Bongobest. Mfano, facebook favicon yao na logo ni herufi "F" ikiwa imezungukwa na square ya blue. Kwako naona umeandika neno "Bongobest". Sio mbaya ila ingependeza ungekuwa na logo yako.


Ni hayo tu kaka SamJet. I hope Ushauri wangu utasaidia.

given.png
 
Samjet aka mr cloner wa2 mbona tangia 13 tunafanya hayo au ulivosema 16 ndo ukajiona brain na na so wrong and i pity u then umesema unawebsite si ungeziweka tena kama unazo nahic zipo cloned dah afu eti utaoa i pity u kama kama utashindwa ku defend server yako kwa hackers sidhan kama utaweza kublock penetration testing za ex bfs wa mke wako afu spelling ni GSEAT sio GREATE af eti unazungumzia forum unataka nayo kuiclon au ha ha ha
 
Back
Top Bottom