Wasaalam wakuu, Mimi ni kijana wa miaka 27 Mhitimu wa kozi ya Clinical Medicine nimehitimu mwezi wa 2 mwaka huu, naombeni Kwa unyenyekevu mkubwa nafasi ya kazi popote pale ndani ya Tanzania.
Najua tupo hapa kupeana mawazo na kusaidiana changamoto mbalimbali,hivo Kwa yeyote mwenye taarifa za mahali wanahitaji clinical officer naombeni connection za kupata kazi wakuu.
Asanteni
0748685142
Najua tupo hapa kupeana mawazo na kusaidiana changamoto mbalimbali,hivo Kwa yeyote mwenye taarifa za mahali wanahitaji clinical officer naombeni connection za kupata kazi wakuu.
Asanteni
0748685142