clinic ya watoto ya dokta massawe iliyopo ,moroco

Mtende

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
6,385
7,332
habari wanajamvi
katika harakati zangu za kumpeleka mwanangu clinic,nimehudhuria zaidi ya mara sita katika clinic ya dokta massawe iliyopo hapo moroco karibu na jengo Airtel,na sababu ya mimi kuhuduria ni kutokana na kusikia sifa nyingi kwamba pale ndio kuna maspecialist wa watoto ila cha ajabu nilichojionea kwa muda wote huo ni huduma mbovu pamoja na mazingira machafu tena jengo lisilokua na kiwango wala hadhi ya kuwa hospitali tena ya watoto,jamani hata mazingira ya baa ni masafi,wahudumu wenyewe wanapenda rushwa yani wana njaa.for sure mimi sijaridhishwa na clinic ile hata nimeamua kuhamia kwa dokta amir kariakoo,ninachojiuliza ni kwamba hawa watu wanaoanzisha clinic vichochoroni kwa nini wizara ya afya inawapa vibali pasipo kukagua kama clinic inakidhi vigezo?

nawasilisha
 
habari wanajamvi
katika harakati zangu za kumpeleka mwanangu clinic,nimehudhuria zaidi ya mara sita katika clinic ya dokta massawe iliyopo hapo moroco karibu na jengo Airtel,na sababu ya mimi kuhuduria ni kutokana na kusikia sifa nyingi kwamba pale ndio kuna maspecialist wa watoto ila cha ajabu nilichojionea kwa muda wote huo ni huduma mbovu pamoja na mazingira machafu tena jengo lisilokua na kiwango wala hadhi ya kuwa hospitali tena ya watoto,jamani hata mazingira ya baa ni masafi,wahudumu wenyewe wanapenda rushwa yani wana njaa.for sure mimi sijaridhishwa na clinic ile hata nimeamua kuhamia kwa dokta amir kariakoo,ninachojiuliza ni kwamba hawa watu wanaoanzisha clinic vichochoroni kwa nini wizara ya afya inawapa vibali pasipo kukagua kama clinic inakidhi vigezo?

nawasilisha
Pole sana dada yetu. Tupo wengi tunaotaabika na hizi hospital uchwara lakini zenye gharama za first class
 
Ulienda pale mara ya Kwanza ukaona ni pachafu, wahudumu wanapenda rushwa n.k.. Kisha ukaenda mara ya pili, ya tatu, ya nne.... mpaka ya sita???

Kwa nini unalalamika sasa baada ya kuhudhuria mara zote hizo?
 
Asante kwa taarifa. Je umejaribu kywa shauri mara zote sita? Dr. Massawe alishawshi kuokoa watoto wa Ndugu zangu kwa hiyo namheshimu huduma pale muhimbili
 
yaani hapo umenena mie pia na hata ndugu au rafiki akiniuliza Dk wa kwenda kwa ajili ya watoto ni Dr, Hameer huyo wa pale faya kuelekea kariakoo. Nadhani ndio huyo unaemuongelea baada ya mataa ukitokea jangwani sec.

Ndugu na marafiki wanaokujaga likizo kutoka ulaya pale ndio wanaenda miaka nenda rudi na hakuna anayelalamika ndio kwanza wanawaongezea wateja. kuna ya namba na ya appointment unalipa pesa zaidi kidogo. watu wanawahi namba tangu 5am. pia Dr ameweka namba ya wagonjwa ni sijui mia na isizidi kwa siku. ukienda mchana clinic imeisha labda awe anamalizia wateja. anawodi pia analaza, au hata ile ya kuangaliwa kwa masaa kama mgonjwa anahitaji huduma au uangalizi then wanakuachia au etc.

pia wanatibu watu wazima na wakina mama ultra sound wana clinic mchana na jmosi, dr mmoja mzuri yupo pale hata ukiwa na mimba etc.
 
Nilipokuwa nasoma Old Moshi Sec,.Dr. Massawe ,katika Dormitory,alikuwa analala to my left,tumepakana vitanda. Nilikuwa form one 1966. Nilikuwa mdogo sana. I was a nice looking kid.
 
Asante kwa taarifa. Je umejaribu kywa shauri mara zote sita? Dr. Massawe alishawshi kuokoa watoto wa Ndugu zangu kwa hiyo namheshimu huduma pale muhimbili

tatizo manesi wanaokua pale ni wazee sidhani kama watashaurika
 
Ulienda pale mara ya Kwanza ukaona ni pachafu, wahudumu wanapenda rushwa n.k.. Kisha ukaenda mara ya pili, ya tatu, ya nne.... mpaka ya sita???

Kwa nini unalalamika sasa baada ya kuhudhuria mara zote hizo?

nilikua bado siamini kama kwa dk massawe kunaweza kua na huduma mbovu sasa mara ya sita nilipoona no changes ikabidi nisepe haha
 
Asante kwa taarifa. Je umejaribu kywa shauri mara zote sita? Dr. Massawe alishawshi kuokoa watoto wa Ndugu zangu kwa hiyo namheshimu huduma pale muhimbili

nakubaliana na wewe kwamba docta massawe ni best dokta ila wanaofanya kazi katika clinic yake wanamwangusha
 
Back
Top Bottom