Nassari alisemaga wakati fulani kuashiria sera isiyo rasmi ya ukaskazini na kutaka . Just in.case ikifika hatua ya kujitenga huku mbeleni au wakipata wazo kama.hilo itakua kama vile nyerere alivyosema kuhusu Zanzibar ya wazanzibari na.wazanzibara. wachaga na ni dominant tribe na watagombana na wenzao wengine kwa umiliki wa rasilimali na fursa za uongozi wa juu. North republic itazaliwa kama south Sudan na.migogoro mapema. Baada ya hapo wachaga wenyewe wakiwamaliza maadui zao wengine ie masai, waarusha, wapate, etc etc watajikuta kua wenyewe tena siyo wamoja yaani hamna kabila linaloitwa wachaga na hapo zitachapwa Kati yao kwa wao. Wakija kushtuka kila mtu amehigawia kaeneo kake ka kukatawala kiukoo na.kiukabila na hapo ni mwisho wa northern dream ya kua taifa kama ambavyo imekuepo kwenye historia hata kabla ya uhuru.wa taifa hili kwa kupigiwa chapuo na elites wa Kilimanjaro