Cleopa Msuya awafuata Lowassa na Sumaye?

Cleopa Msuya awafuata Lowassa na Sumaye?

Hajawafuata kwa maana ya kuhama chama. Aliilamikia CCM na kuwataka kujitathimini kwanini chama hakikupata ushindi mkoani Kilimanjaro. Ametaja rushwa, ufisadi na uchakachuaji miongoni kwa viongozi wa chama.kama.sababu kuu. Amelalamikia viongozi wa CCM kwamba baadhi yao walichangia kwa kukihujumu chama.

Hivi msuya naye hajui kama kilimanjaro kuna ukaskazini na ukanda. Au anatucheza shere tu
 
Sasa North Zone tumekamilika.. Kitakachofuata ni kupigania nchi yetu. Potelea mbali

Nakushauri ukasome kwanza hilo gazeti, itakusaidia usiende off. Hata hivyo yaonekana kwako hakuna lingine zaidi ya ukanda. WAtz wana Uhuru wao, yeyote akipenda ataenda anakotaka yeye na sio wewe.
 
Nakushauri ukasome kwanza hilo gazeti, itakusaidia usiende off. Hata hivyo yaonekana kwako hakuna lingine zaidi ya ukanda. WAtz wana Uhuru wao, yeyote akipenda ataenda anakotaka yeye na sio wewe.

Usitoe sana povu.. Kumbe mnatupenda pamoja na kelele na chuki zenu hizo
 
Nyumbu haooooooooooooooooooooooo. Mmesahau Mh. Msuya ndiye aliyesema Lowassa anakivuruga chama huku wahusika hawamchukulii hatua yeyote. akashauri afukuzwe. Mh. Msuya ni mmoja wa wazee wastaafu waliopitisha azimio la kumkata fisadi mapema kabisa.
 
Usijifanye hujui 70% ya maafisa waandamizi Jeshi na Polisi ni kutoka huko Kaskazini..

Na ndio maana ujambazi na wizi unakuwa mkubwa nchi hii. Watu wenyewe hata nafasi ya kuzikana hamna makwenu,ni wakimbizi katika miji ya watu,ngojeni iko siku yenu mtajuta kututukana na kutudharau. Unajua kilichofanyika Afrika Kusini kwa wageni? Jaribuni tu muone cha moto
 
Ukabila na ukanda utawaua. Badala ya kuzungumzia utanzania mmekazana na northern empire lol. Wabaguzi nyie
 
Na ndio maana ujambazi na wizi unakuwa mkubwa nchi hii. Watu wenyewe hata nafasi ya kuzikana hamna makwenu,ni wakimbizi katika miji ya watu,ngojeni iko siku yenu mtajuta kututukana na kutudharau. Unajua kilichofanyika Afrika Kusini kwa wageni? Jaribuni tu muone cha moto

Ajabu ni kwamba kila Mkaskazini huwa anaenda kuzikwa huko... Sasa hiyo nafasi sijui unaongelea ipi..
 
ingekuwa mlipakodi anaandikisha kabila tungejua vizu?r
 
mda si mrefu tunaanzisha North empire, ngoja nijiandae kuhamie.yaani wana arusha pamoja na jitihada za magufuli kukonga nyonyo za watanzania bado wamethubuti kumchagua lema! yaani wanaamini CCM yale anayofanya magu ni manzingaombwe

Uhaini huo mkuu
 
Mwandishi wa gazeti la Nipashe lililotoa kichwa hapo juu ameenda mbali ili kuuza gazeti.Nimeisoma hiyo habari magazeti mawili au matatu.Mwandishi mwenye akili zaidi ameandika kuwa CCM ijisafishe ili iendelee kupendwa na watu.Isipofanya hivyo itaenda na maji, kama tulivyoona ushindani wa uchaguzi uliopita.Mkuu nashukuru kwa udadavuaji mzuri, ahsante!
 
Wala hilo litakuwa kifo kwa watu wa Kilimanjaro na Arusha.Sababu ukiwachukua watu wote wa mikoa hiyo walioko nchi nzima na nje uwarudishe wote kule hawatoshi.Ardhi hamna wataishia kufanyiana ujambazi na kuuana hovyo .Kusambaa mikoa mingine kumesaidia sana wao KUEPUKANA NA migogoro.Serikali iliendeshe kampeni nyingi na kuwahamisha kwa makundi kutoka mikoa hiyo na kuwapeleka mikoa mingine.

Wamasai na ng`ombe zao zote walizonazo mikoa mingine uwatimue warudi kwao itakuwa kiyama kwa Arusha haitawameza.Watu wa kilimanjaro nao ukisema uwatimue kote waliko mikoa mingine warudi kwao kwenye hiyo jamhuri yao hawatoshi.Ardhi haiwezi watosha na fursa haziwezi watosha NA KUWAMBIA serikali haijafanya chochote miaka 54 Anavyosema Lowasa na Sumaye wake ni uongo na utapeli kwa wakazi wa arusha na Kilimanjaro.Hao watu ni wabaya mno mbele ya Mungu na wanadamu.Wao wenyewe walibebwa na serikali iliyopo hata viatu walikuwa hawana wakasomeshwa na kujengwa na chama na serikali iliyopo.Leo wanakenua mebno eti serikali haijafanya kitu.

Aliwayewashauri kusema CCM haijawafanyia kitu wakati ilihangaika kuwabeba wafugaji na wachaga wasio na ardhi kuwapeleka maeneo ya mikoa ya Tanga,MOROGORO NK ni kukosa shukrani Na MUNGU atawalipa kwa huo ukosefu wao wa shukrani kwa serikali wao na Lowasa na Sumaye wao anayewachochea.

Ninawalaani kwa jina la Mungu WOTE wanaosema serikali na CCM haijafanya kitu miaka yote 54.wALAANIWE WALALAPO NA WAAMUKAPO MAANA HAWANA SHUKRANI KILA WANALOGUSA LISIFANIKIWE.

Dua la kuku. Mzaramo/Mkwere kazi zao ni ukonda na machinga basi. Na kwa sababu ya wivu hamtakaa muendelee sana mtaishia kuwa kama wagogo.
 
Dua la kuku. Mzaramo/Mkwere kazi zao ni ukonda na machinga basi. Na kwa sababu ya wivu hamtakaa muendelee sana mtaishia kuwa kama wagogo.

Na shida walizonazo eti ccm imechukua majimbo yote dom
 
Nassari alisemaga wakati fulani kuashiria sera isiyo rasmi ya ukaskazini na kutaka . Just in.case ikifika hatua ya kujitenga huku mbeleni au wakipata wazo kama.hilo itakua kama vile nyerere alivyosema kuhusu Zanzibar ya wazanzibari na.wazanzibara. wachaga na ni dominant tribe na watagombana na wenzao wengine kwa umiliki wa rasilimali na fursa za uongozi wa juu. North republic itazaliwa kama south Sudan na.migogoro mapema. Baada ya hapo wachaga wenyewe wakiwamaliza maadui zao wengine ie masai, waarusha, wapate, etc etc watajikuta kua wenyewe tena siyo wamoja yaani hamna kabila linaloitwa wachaga na hapo zitachapwa Kati yao kwa wao. Wakija kushtuka kila mtu amehigawia kaeneo kake ka kukatawala kiukoo na.kiukabila na hapo ni mwisho wa northern dream ya kua taifa kama ambavyo imekuepo kwenye historia hata kabla ya uhuru.wa taifa hili kwa kupigiwa chapuo na elites wa Kilimanjaro
 
Usijifanye hujui 70% ya maafisa waandamizi Jeshi na Polisi ni kutoka huko Kaskazini..

hahahaha sasa mbona wanawaua sana full mabom ya machozi kaskazini mtakaa sana nchi hii haiendeshwi kwa ukabila wala ukanda
 
Wasukuma wana shukrani na CCM na serikali yake wanashukuru na ndio maana walipigia kura CCM wakitambua ilivyowasaidia kuwatoa kule walikobanana na kuwapeleka kwingine kwenye mikoa mingine kuwapa ardhi na makazi.Ninaongelea wale wa Arusha na Kilimanjaro ambao hawana shukrani.Mungu na awalaani walalapo na waamkapo wote wanaosema serikali na CCM hawajafanya kitu miaka 54.

Ni ajabu watu waliosaidiwa hivyo kuiponda serikali.Wakati wa mkoloni wachaga na wamasi hawakuwa mikoa yote kama ilivyo sasa.Serikali iliyopo imewaachilia ikawasaidia wakapata maendeleo makubwa mikoa mingine sio kwao wakachuma hicho walichopata mikoa mingine kinawapa jeuri na kuiponda CCM na SERIKALI.mTU KAMA Lowasa na Sumaye utajiri wao wameupatia mikoa mingine leo ndi vinara wa kuponda CCM na serikali Mungu na awalaani asiwaache wakae hata siku na saa bila laana wao na wote waipondao serikali na CCM kuwa haijafanya lolote.

pumba tupu unajua ramani za mikoa ya mkoloni?
 
Back
Top Bottom