johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Wadau ktk kipindi cha mapitio ya magazeti leo asubuhi kinachorushwa na wapo radio, kuna gazeti limeandika Msuya awafuata Lowasa na Sumaye. Sikusikia jina la gazeti so naomba yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu habari hii anijuze. Ahsante.