Cleopa D. Msuya: Nimemkubali

Hii kitu ni ya msingi sana japo kuwa nami nilidhani kuwa ni ukabila hapo awali. Kumbuka huyu kachaguliwa na watu japo ni PM ...wanadai kuwa pesa zinazotutia wazimu sasa (chenji ya rada), hiyo kampuni ya BAE iko based jimbo alilokuwa anatokea Tony Blair na alishinikiza ili wapigakura wake waspoteze kazi.
Huwezi kupeleka umeme nk nchi nzima kwa siku moja na the best way of doing it, no way ..."charity bigins at home"! Sio kama tunavyoona sasa ambapo tunawasaidia wageni kuhamishia 'maisha bora' nje ya nchi ...(lakini napenda pia Mkulu anavyopa 'overhaul' Msoga)
Bwana ndugu, mimi sidhani kama ulifanya kazi chini ya CD Msuya kudraw hii conclusion ambayo naona ni mawazo binafsi.
Na je mtu akipeleka umeme kwao kuna dhambi gani, alimradi kulikuwa hakuna umeme-huko hakuna waTanzania wanaotaka umeme kama wananchi wa sehemu nyingine kama Kisarawe ,Kishapu au Kiteto?
Tuache kutetea sera za kimaskini.
Mtu kwao.
Nasema hivi kwa vile mimi si Mpare lakini sioni kosa la kupeleka umeme unaozalishwa Nyumba ya Mungu na unapita juu kwa juu barabarani.
 
Msuya kiongozi mzuri na wengine wote. Sioni kwa nini anaingizwa Kikwete humu; kwanza Msuya hata afanye nini hamfikii Kikwete, kwa sababu kikwete Ni RAIS, na akimaliza anakuwa RAIS MSTAAFU.

Kumkashifu kikwete ni kuwakashifu waliompigia kura.

Tusiende huko kwa sasa. tubaki na CD MSUYA, Amekubaliwa.

Mie pia nimemkubali; kapeleka umeme mwanga, Bunda kuna nini?

leo bungeni mbunge wa kisarawe kafananisha safari za JK na marehemu mtume mohammad
 
Chenge hela za rada kapeleka wapi?

Ndio maana nikasema lile ni chimbuko la ufisadi tunaouona sasa, mbona nimetumia lugha rahisi sana kueleweka ? Yeye alianza kwa kuhamishia kodi za watanzania jimboni kwake, baada ya hapo ufisadi umekua na sasa wanahamishia hela kwenye familia zao. Chenge anapeta na familia yake muda huu wakati wananchi tunalalama. Waulize watoto wa Chenge kama hawafaidi hizo fedha. Saizi mafisadi hawana haja ya kusaidia wananchi wao coz wana uhakika hata wasipofanya hivyo hamna anayewauliza zaidi ya magazeti kuandika kila kukicha. Ila chimbuko la ufisadi huu tunaouona sasa ni ubinafsi na ukabila wa watu kama CDM
 
Hii kitu ni ya msingi sana japo kuwa nami nilidhani kuwa ni ukabila hapo awali. Kumbuka huyu kachaguliwa na watu japo ni PM ...wanadai kuwa pesa zinazotutia wazimu sasa (chenji ya rada), hiyo kampuni ya BAE iko based jimbo alilokuwa anatokea Tony Blair na alishinikiza ili wapigakura wake waspoteze kazi.
Huwezi kupeleka umeme nk nchi nzima kwa siku moja na the best way of doing it, no way ..."charity bigins at home"! Sio kama tunavyoona sasa ambapo tunawasaidia wageni kuhamishia 'maisha bora' nje ya nchi ...(lakini napenda pia Mkulu anavyopa 'overhaul' Msoga)

Hata mafisadi wanasaidia familia zao, ushaona mtoto wa fisadi akihangaika mtaani ? Dhambi ilianza kwa kabila, ikashuka kwa kijiji, ikaenda kwenye ukoo na sasa imefika kwa familia. Wanafamilia wa mafisadi ndio wanaojua utamu wa ufisadi.
 
Chenge pesa amepeleka nje,watu wa nje na familia yake ndiyo wanafaidika na pesa zetu. Lakini huyu mzee alipeleka umeme Mwanga, Tanzania. Wananchi wote wanaoishi Mwanga wanafaidika.
 
kweli mkuu umeiweka vizuri. Hapa dawa ya ujinga wote huu ni KATIBA inayomwakilisha kila MTZ ili mambo yawe wazi na kurahisisha watu kujua nini kinapaswa kifanyike na wakati gani. Nimemuona Mh. Tundu Lissu akitoa takwimu la allocation ya fedha za budget jana, tusiombee haya mambo yeendelee kutokea for the well being of each and everyone
Hata mafisadi wanasaidia familia zao, ushaona mtoto wa fisadi akihangaika mtaani ? Dhambi ilianza kwa kabila, ikashuka kwa kijiji, ikaenda kwenye ukoo na sasa imefika kwa familia. Wanafamilia wa mafisadi ndio wanaojua utamu wa ufisadi.
 
..tatizo la Cleopa Msuya ni kwamba any discussion about him can not go past the accusations of tribalism, and the statement he made during parliamentary debate "kila mtu abebe msalaba wake."

..rekodi ya utumishi wa Cleopa David Msuya au "CD" could be very interest ukizingatia nafasi ya Waziri wa maendeleo ya Viwanda na Biashara aliyoishika mara baada ya kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki. katika kipindi hicho, Tanzania ililazimika kuongeza kasi ktk kuanzisha viwanda vyake ili kufidia nakisi ktk bidhaa mbalimbali iliyotokana na kuharibika kwa mahusiano yetu na Kenya.

..Msuya pia alikuwa Waziri wa Fedha,Uchumi,na Mipango, ktk awamu ya kwanza ya utawala wa Raisi Mwinyi. The country was in a very serious economic and financial crisis.

..CD alitoa mchango mkubwa ktk juhudi za ku-stabilize uchumi wakati ule, na pia kuongoza mazungumzo na majadiliano baina ya Tanzania na IMF/WB na Paris Club donors.

NB:

..Msuya alikuwa Waziri Mkuu mara ya kwanza baada ya Sokoine kujiuzulu na kwenda Yugoslavia kwa ajili ya matibabu / masomo.

..baadaye tena mwishoni mwa utawala wa Raisi Mwinyi, Msuya aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Raisi akichukua nafasi ya John Malecela. hii ilikuwa ni baada ya shinikizo la Mwalimu Nyerere kutaka Malecela na Kolimba wafutwe kazi kutokana na "kuyumba" kwa msimamo wao ktk kuipinga hoja ya Tanganyika.

..Mawaziri wote wakuu wakati wa utawala wa Raisi Mwinyi walikuwa pia wana cheo cha MAKAMU WA KWANZA WA RAISI. katiba ya Tanzania wakati ule ilikuwa inaelekeza kwamba ikiwa Raisi wa Jamhuri atatokea Zanzibar, basi kutakuwa na Waziri Mkuu na Makamu wa Raisi kutoka Tanzania Bara, na Raisi wa Zanzibar atakuwa Makamu wa Pili wa Raisi.
 
Mimi sina tabia ya kusifu sifu mtu kwa kujibu vijiswali vya mtangazaji asiye komaa hata ktk taaluma yake.

Msuya alikuwa Waziri mkuu na alikuwa waziri wa fedha -Hizo ndo nyadhifa kuu mbili. Tuambieni alifanya nini hadi JF itoe sifa kwa msuya?
Najua alihamisha pesa kwa kutumia madaraka yake ili Mwanga wapate umeme.

Msuya ni sifa kwa watu wa Mwanga na haiwezi kuwa sifa ya kujivunia kwa wa-TZ

Kama ni ufisadi naye yumo. Atueleze jinsi COGEFA ya italy ilivyopewa tenda ya kujenga bwawa la Mtera. Tena alikwenda mpaka Italy kusaini mkataba maana tunadhani ni Karamagi tu aliyesafiria mkataba, hata Msuya alifanya hivyo na baada ya hapo ndo akapata vijisenti vilivyompa kiburi na kutuambia kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe.
 
..tatizo la Cleopa Msuya ni kwamba any discussion about him can not go past the accusations of tribalism, and the statement he made during parliamentary debate "kila mtu abebe msalaba wake."

Pamoja na historia yote ya "CD" Msuya , nafikiri he was living and thinking ahead of his times.
Kwamba kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe-how prophetic that statement was!!!
Yeye alikwisha tambua kuwa Ujamaa kwa wakati huo siyo sustainable.
Mpaka leo sustainability ya huduma nyingi na muhimu za serikali yetu LEO ni ya mashaka.
It was true then and also true today.
 
nimeenda nje ya topic ili ni sababu ya kunikumbusha (hapo kweye red) kuwa mwanachama wa kwanza mtiifu kuwaambia magamba kuwa wemekosa mwelekeo. Mungu amlaze mahala pema peponi
....Msuya pia alikuwa Waziri wa Fedha,Uchumi,na Mipango, ktk awamu ya kwanza ya utawala wa Raisi Mwinyi. The country was in a very serious economic and financial crisis.
..baadaye tena mwishoni mwa utawala wa Raisi Mwinyi, Msuya aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Raisi akichukua nafasi ya John Malecela. hii ilikuwa ni baada ya shinikizo la Mwalimu Nyerere kutaka Malecela na Kolimba wafutwe kazi kutokana na "kuyumba" kwa msimamo wao ktk kuipinga hoja ya Tanganyika.
 
I have never known people who can be easily convinced like Tanzanians - I thougt a man like CD Msuya should be judged from what he did and what he didn't taking in consideration his long political carrier instead watu wanampa sifa kwasababu wamemsikia akijibu maswali vizuri(?) sijui ktk kipindi gani Gosh- if this is what all about being a GREAT THINKER 'am literally terrorized by the idea of knowing those who are not great thinkers!!!! we still have a very long way to go - God Forbid!!!
 
ANASHANGAA MITAMBO YA TBL MBEYA KUPITISHWA ZAMBIA,MIGODI KUPITIA KENYA KISA HATUNA MIUNDOMBINU!suala la shule kila kata siku nyingi alishatekeleza mwanga!sasa kuna umeme,lami,maji jinsi palivo na amani tarafa hazina hata polisi kama vile mererani walivyokataa polisi
 
Mimi sina tabia ya kusifu sifu mtu kwa kujibu vijiswali vya mtangazaji asiye komaa hata ktk taaluma yake.

Msuya alikuwa Waziri mkuu na alikuwa waziri wa fedha -Hizo ndo nyadhifa kuu mbili. Tuambieni alifanya nini hadi JF itoe sifa kwa msuya?
Najua alihamisha pesa kwa kutumia madaraka yake ili Mwanga wapate umeme.

Msuya ni sifa kwa watu wa Mwanga na haiwezi kuwa sifa ya kujivunia kwa wa-TZ

Kama ni ufisadi naye yumo. Atueleze jinsi COGEFA ya italy ilivyopewa tenda ya kujenga bwawa la Mtera. Tena alikwenda mpaka Italy kusaini mkataba maana tunadhani ni Karamagi tu aliyesafiria mkataba, hata Msuya alifanya hivyo na baada ya hapo ndo akapata vijisenti vilivyompa kiburi na kutuambia kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe.

i couldn't agree with you better!
 
KolakokaVIII said:
I have never known people who can be easily convinced like Tanzanians - I thougt a man like CD Msuya should be judged from what he did and what he did'nt taking in consideration his long political carrier instead watu wanampa sifa kwasababu wamemsikia akijibu maswali vizuri(?) sijui ktk kipindi gani Gosh- if this is what all about being a GREAT THINKER 'am literally terrorized by the idea of knowing those who are not great thinkers!!!! we still have a long way to go - God Forbid!!!

KolakolaVIII,

..u have made very interesting observations.

..rekodi za utumishi wa viongozi wetu haziwekwi in public.

..Msuya was the Min for Finance frm 1972 to 1975, then Minister for Industries frm 1975 to 1980, then Prime Minister frm 1980 to 1983, and so on and so forth.

..personally naamini CD Msuya ni kati ya watu muhimu sana ambao rekodi za utumishi wao[+ ve and -ve] zinapaswa kuwekwa wazi ili tuweze kujua tunakotoka na tunakoelekea.

..probably we need to advocate for DECLASSIFICATION of confidential public records frm previous administrations.

NB:

..kwa mtizamo wangu CD Msuya alipaswa kuhojiwa na mwandishi wa habari mweledi ktk masuala ya uchumi.

..kwa haraka hapa namfikiria Theo Mushi ambaye kwa bahati mbaya ameshatutoka.


 
Lakini ni huyu huyu Msuya ambaye kama sikosei, exit yake ktk siasa pia ilitokana na support yake kupungua ndani ya CCM.
Alimalizia akiwa ni waziri pekee ambaye hakuwa mjumbe wa kamati kuu ya CCM. Nikosoeni.
 
leo anazungumzia kuwawezesha wakulima kutumia mbegu bora, kipindi kile alisema kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe........
alikuwa anazungumzia wenye kuzaa hovyo watoto kapu zima kwa kutegemea kila mtoto anakuja na Riziki yake. wewe uzae mtoto kila mtaa hadi na House Girls wako halafu utegemee serikali ikutunzie. katika hili kila mtu atabeba msalaba wake CD alikuwa sahihi.
 
Hivi wakati yeye yuko kwenye system kwa nini hakufanya hayo anayoyasema? Hivi pia ilikufurahisha kipindi kile aliposema kila mtu atabeba msalaba/ mzigo wake mwenyewe?
Mpira watazamaji wanaujua kuliko wachezaji. Mzee yuko nje ya uwanja anaona vizuri kuliko alivyokuwa akicheza
 
Mimi sina tabia ya kusifu sifu mtu kwa kujibu vijiswali vya mtangazaji asiye komaa hata ktk taaluma yake.

Msuya alikuwa Waziri mkuu na alikuwa waziri wa fedha -Hizo ndo nyadhifa kuu mbili. Tuambieni alifanya nini hadi JF itoe sifa kwa msuya?
Najua alihamisha pesa kwa kutumia madaraka yake ili Mwanga wapate umeme.

Msuya ni sifa kwa watu wa Mwanga na haiwezi kuwa sifa ya kujivunia kwa wa-TZ

Kama ni ufisadi naye yumo. Atueleze jinsi COGEFA ya italy ilivyopewa tenda ya kujenga bwawa la Mtera. Tena alikwenda mpaka Italy kusaini mkataba maana tunadhani ni Karamagi tu aliyesafiria mkataba, hata Msuya alifanya hivyo na baada ya hapo ndo akapata vijisenti vilivyompa kiburi na kutuambia kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe.
Give compliments where it is due.
Kama sifa kwa kiongozi yeyote nchini inakuudhi ni bora fumba maji usije ongea kitu kisicho na msingi.
Je unahabari kuwa na Nyerere alienda China kuweka mkataba wa TAZARA,
Sir George alikwenda Canada kuweka mikataba ya CDA, madudu tunayafahamu
Suala la UDA sijui kama unalifahamu
Any analogies here
Na nchi imeweka mikataba mingi sana, na wengi walioweka mikataba hiyo si malaika, na hii haiondoi uwajibikaji na uzalendo wa mtu yeyote.
Na vile vile haikuzuii wewe kutoa mifano hai, na details zake juu ya ufisadi huo.
 
Give compliments where it is due.
Kama sifa kwa kiongozi yeyote nchini inakuudhi ni bora fumba maji usije ongea kitu kisicho na msingi.
Je unahabari kuwa na Nyerere alienda China kuweka mkataba wa TAZARA,
Sir George alikwenda Canada kuweka mikataba ya CDA, madudu tunayafahamu
Suala la UDA sijui kama unalifahamu
Any analogies here
Na nchi imeweka mikataba mingi sana, na wengi walioweka mikataba hiyo si malaika, na hii haiondoi uwajibikaji na uzalendo wa mtu yeyote.
Na vile vile haikuzuii wewe kutoa mifano hai, na details zake juu ya ufisadi huo.

Mimi niliandika kusaini mkataba na kampuni ya COGEFA, hiyo ikiwa ni tenda. Wewe unaandika kuweka mkataba wa TAZARA, mkataba ambao ulikuwa ni wa ushirikiano kati ya nchi na nchi sasa ulitaka usainiwe wapi?

Usisome post kwa jazba hata kama huyu ni swahiba wako. Maksi hupungua kwa mtindo huo halafu utasema yote ni sawa tu. uonavyo yanfanana?
 
I have never known people who can be easily convinced like Tanzanians - I thougt a man like CD Msuya should be judged from what he did and what he didn't taking in consideration his long political carrier instead watu wanampa sifa kwasababu wamemsikia akijibu maswali vizuri(?) sijui ktk kipindi gani Gosh- if this is what all about being a GREAT THINKER 'am literally terrorized by the idea of knowing those who are not great thinkers!!!! we still have a very long way to go - God Forbid!!!
Never seen?
You aint seen nuthin yet!!
And by the way will you please elaborate on what you might probably mean by political carrier?
Did you by any chance mean political career?
Great literal prowess from a terrorized great thinker, mind you in small letters, and very small indeed.
It just crossed my mind that you might probably have a bench mark for a role model, from which one can refer to , as apart from the above oppiated observation.
A long way to go?
We have come a longer way thus far, probably even before you knew how to suckle my dear!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom