Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,044
- 126,058
Hahahaaa. Kwa kweeeli.Hhahahahaha !! aendelee nazo zinaburudisha haswa anapangilia heading za kukera ndio maana nipo pamoja na Mwasibu nampa mi5 tena .
Kuna uzi walivyotua African sport alianza na "InnaLilllahi...." akatabiri Yanga ndio mwisho wake baadae meza ikapinduka bado Kuna za sajili alizosifia zikabuma zipo nyingi tu.
Mitano tena kwa Kipenzi Changu. 🤣