Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,233
- 138,746
- Thread starter
- #21
Crown FM wanaiba content zetu, leo wanajadili Saves za Spider na Issue ya Marefu ambazo tulijadili jana
Wewe mbona mnaficha na mechi walizocheza. Camara kacheza mechi 16 Clean Sheet 13 while Diarra kacheza mechi 10 Clean Sheet 8. Kama hujui hesabu sema na mwasibu atakuambia nini nachomaanisha.Diarra ni mchumba tu kwa camara. Clean sheet 13 kwa 8 tofauti clean sheet 5.
Sawa.una jingine! Upate msaada!Mwisho wa msimu mtachukua kombe la clean sheet kama lile la kiatu cha Saido
Lkn tunakubaliana Camara ana clean sheet nyingi au siyo,,,😁😁Wewe mbona mnaficha na mechi walizocheza. Camara kacheza mechi 16 Clean Sheet 13 while Diarra kacheza mechi 10 Clean Sheet 8. ,Kama hujui hesabu sema na mwasibu atakuambia nini nachomaanisha.
Ndio maana nikakwambia muulize mwasibu akuelekeze hesabu za uwianoLkn tunakubaliana Camara ana clean sheet nyingi au siyo,,,😁😁
Mimi inanihusu nini? Kwani mimi ndiye niliyemkataza asicheze?Wewe mbona mnaficha na mechi walizocheza. Camara kacheza mechi 16 Clean Sheet 13 while Diarra kacheza mechi 10 Clean Sheet 8. Kama hujui hesabu sema na mwasibu atakuambia nini nachomaanisha.
Eti tahira [emoji23][emoji1787][emoji1787]Tahira katika moja na mbili!!.
Au sioDiarra ni mchumba tu kwa camara. Clean sheet 13 kwa 8 tofauti clean sheet 5.
A'aleykum! Natumai 2026 imeanza vyema kwako ndugu yangu.Shadeeya ankali wako Mwasibu Kipenzi Changu kayatimba huku
Hahahaaa. Mwasibu kama mwasibu.Shadeeya ankali wako Mwasibu Kipenzi Changu kayatimba huku
Usipinicharua hujisikii rahaHahahaaa. Mwasibu kama mwasibu.
Ifikie hatua nyuzi za kubet aachane nazo tu.
Cc. Kipenzi Changu. Koh koh.
Tena na vile nilikumiss Mwasibu. 😃Usipinicharua hujisikii raha
Wa'alaykum salaam , Alhamdulillah ndugu mwaka umeanza vizuri mipango mingi ya Kihasibu namuomba Allaah isiishie Kihasibu ya kwenye makaratasi tu iende kwenye vitendo na ifanikiwe , aamiyn.A'aleykum! Natumai 2026 imeanza vyema kwako ndugu yangu.
Hhahahahaha !! aendelee nazo zinaburudisha haswa anapangilia heading za kukera ndio maana nipo pamoja na Mwasibu nampa mi5 tena .Hahahaaa. Mwasibu kama mwasibu.
Ifikie hatua nyuzi za kubet aachane nazo tu.
Cc. Kipenzi Changu. Koh koh.
Amiiin! Kwa uweza wake Allah itafanikiwa.Wa'alaykum salaam , Alhamdulillah ndugu mwaka umeanza vizuri mipango mingi ya Kihasibu namuomba Allaah isiishie Kihasibu ya kwenye makaratasi tu iende kwenye vitendo na ifanikiwe , aamiyn.
Sijui upande ndugu naona umepotea kidogo Jf