DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mchezaji wa zamani wa Simba SC, Yanga SC na kwa sasa Singida Black Stars, Chota Chama “Triple C”, inasemekana yuko mbioni kurejea tena kwenye viunga vya Msimbazi. Endapo Simba SC watamrudisha nyota huyo, itakuwa ni mara ya tatu kuivaa jezi ya klabu hiyo.
Swali linabaki: Je, Simba SC wamekosa kabisa mbadala wa Chama sokoni, au ni uvivu wa viongozi kufikiri na kufanya maamuzi mapya?
Swali linabaki: Je, Simba SC wamekosa kabisa mbadala wa Chama sokoni, au ni uvivu wa viongozi kufikiri na kufanya maamuzi mapya?
