Sasa si tayari amekujibu au unataka nini tena!!???Ushauri jmn simu ya mume wangu imejaa majina ya kike tu kila ukimuliza anasema ni classmate wake cha kushangaza anaasave jina kamili na anamalizia clasmate wenye uelewa tafadhali tusaidiane.
Darasa linaweza kuwa na wanafunzi 70. Tatizo liko wapi?Weweeeee kila mtu ni classmate wake yaan kila nae muuliza ni classmate
Basi usiwe unamuuliza... ebo!Weweeeee kila mtu ni classmate wake yaan kila nae muuliza ni classmate
Na anaweza akawa kasoma mpaka phdDarasa linaweza kuwa na wanafunzi 70. Tatizo liko wapi?
Kabisa. Sasa huu mchuchu unafikiri classmates ni wa sekondari tu. Kule kwa kukatana bikira.. wivu utamuua wallahNa anaweza akawa kasoma mpaka phd
Tusaidiane kwenye nini kuwatambua classmates wa mumeo?Ushauri jmn simu ya mume wangu imejaa majina ya kike tu kila ukimuliza anasema ni classmate wake cha kushangaza anaasave jina kamili na anamalizia clasmate wenye uelewa tafadhali tusaidiane.
Ndio ni classmates,Weweeeee kila mtu ni classmate wake yaan kila nae muuliza ni classmate
Ni dhambi kuwasiliana na classmates wa miaka mingi iliyopita?Mume wa mtu unawasiliana na class mates wa kikee ambao mliachana miaka kibao iliyopita... huyo kuna jambo analo.. Chukuaa sajili namba nyinge alafu save hiyo namba Class mate kama alivyosave yeye kwenye simu yake then mtxt kimahabaa uonee atajibu vip...
Classmates zaidi ya Watatu unawasiliana nao nini???Ni dhambi kuwasiliana na classmates wa miaka mingi iliyopita?
Mimi niko magroup ya classmates kuanzia primary mpaka chuo... sijawahi kuona ubaya kuwasiliana nao...Classmates zaidi ya Watatu unawasiliana nao nini???
Basi usiwe unamuuliza... ebo!