Classmate wangu anatoka na jamaa mwenye UKIMWI

Classmate wangu anatoka na jamaa mwenye UKIMWI

Nina best yangu wa kike anatoka na jamaa ambaye ameathirika na virusi vya UKIMWI.

Wako kwenye mapenzi mazito na mzigo kapiga halafu huyu rafiki yangu anamuelewa ile mbaya. Je nimuambie binti au nikaushie?

NB: Jamaa niliendaga kupima nae.
Mwache ale ujana mwenzako jamani mambo gani haya kwenda kumtisha na VVU.
 
dah its too late cha msingi ni kuweka picha ya demu ili tusije ingia mkenge wengine au ni PM
 
Wewe kaa mbali nae tu maana UKIMWI siku hizi una tabia mbaya sana yaani ukimpata tu best yako ujue nawe unakunyemelea kwa style ya mwendo kasi. Mkimbie best yako mkuu
 
hainiumi mkuu Bali namwoneahuruma kk na wala simtaki she is just my friend

Unahisi yeye anahitaji hiyo unayoiita huruma? Na uliwahi kuwaza kwamba nawe unaweza kuja kupata UKIMWI siku moja? Kwa kuwa ulienda kupima kwa kuwa ulikuwa na wasi wasi kwenye nyendo zako!
 
dah its too late cha msingi ni kuweka picha ya demu ili tusije ingia mkenge wengine au ni PM
hahaaaaa mkuu unaonekana ni beberu mzuri
 
dah its too late cha msingi ni kuweka picha ya demu ili tusije ingia mkenge wengine au ni PM
hahaaaaa mkuu unaonekana ni beberu mzuri
 
Unahisi yeye anahitaji hiyo unayoiita huruma? Na uliwahi kuwaza kwamba nawe unaweza kuja kupata UKIMWI siku moja? Kwa kuwa ulienda kupima kwa kuwa ulikuwa na wasi wasi kwenye nyendo zako!
nilishawishika kupima tu mkuu
 
Mwambie tu kwamba jamaa ana ukimwi kama taarifa sijui kama umemuokoa ama vipi kwani jamaa kashapiga mzigo, ila nafikiri cha msingi kabla hujamwambia mwambie akapime ukikuta majibu yanasoma hana ndo umwambie ila kama anao we achana na hiyo habari.
 
okoa jahaz,huenda hajapata maambukiz bado coz umesema binti anamwelewa jamaa lazima friction siyo ngumu huenda kapona
 
Nina best yangu wa kike anatoka na jamaa ambaye ameathirika na virusi vya UKIMWI.

Wako kwenye mapenzi mazito na mzigo kapiga halafu huyu rafiki yangu anamuelewa ile mbaya. Je nimuambie binti au nikaushie?

NB: Jamaa niliendaga kupima nae.
Acha kiherehere
 
Jiulize hili swali kisha ukipata jibu lake basi ndiyo ufanye kama jibu ulilopata. Ukiwa na best wako na unatoka na mrembo mkali na huyo Best wako akijua huyo mrembo ni muathirika wa UKIMWI utapenda akuguse sikio au akupotezee tu bila kukwambia kuhusu huyu mrembo wako?

Nina best yangu wa kike anatoka na jamaa ambaye ameathirika na virusi vya UKIMWI.

Wako kwenye mapenzi mazito na mzigo kapiga halafu huyu rafiki yangu anamuelewa ile mbaya. Je nimuambie binti au nikaushie?

NB: Jamaa niliendaga kupima nae.
 
Muulize kama alishawahi kupima, na kama bado mshauri mwambie ni vyema akawa na utamaduni wa kupima afya ili ajue status yake, unaweza ukamuescort kwenda kupima kama atataka hivo ila kama ataona sawa basi ataenda peke yake,hapo atajua mwenyewe hali yake,maana inawezekana asiwe kaathirika! Akipima hapo atapewa majibu na wale watakaompa hayo majibu wanajua jinsi ya kuyawasilisha kwake kama atakuwa muathirika au la! kuliko kumropokea kuwa anatembea na mtu mwenye ukimwi, unaweza sababisha taharuki!!
 
Usimwambie coz hata ukimwambia atahis unamdanganya au anaweza kuhis labda unamtaka kimapenz au ukampa presha. Potezea
 
Wanaruhisiwa Mkuu ila kwan ukimuweka mpz wako waz kuna tatzo gan??
 
Back
Top Bottom