Class representative wa UDSM

Class representative wa UDSM

creedfx

Senior Member
Joined
Jun 24, 2022
Posts
103
Reaction score
58
Nimshukuru Muumba kwanza

Alafu ni wasalimu wote humu niwaalike mnisaidie kuhusu class representative wa chuo kama udsm, I mean qualifications zipi na ni njia ipi ambayo mtu anapaswa kutumia ili awe class representative. Je, huyo class representative ana majukumu gani mengine tofauti na kusubmit kazi za wanadarasa?

Je, changamoto zake ni zipi, kuna hasara zipi na faida zipi za kuwa CR? Maana I wish sana niwe CR kwa kozi yangu maana nadhani kupitia hiyo nafasi ntaweza kuwasaidia wengi ili Mungu anihurumie na anisamehe zambi zangu.

Please naomba hata umtag mtu ili aje anisaidie!
 
Kuwa CR hakutakusaidia chochote mdogo wangu. Kikubwa nakushauri hilo boom tumia vizuri maana baada ya miaka 3, 4 au 5 utaingia kitaa kuja kuwatumikia jamaa zako ulio waacha shule ya msingi.
 
Hutoweza kudoji kila kipindi lazima uwepo utakuwa roboti tu na kwa maisha ya chuo kudoji kutafuta muda wako ni muhimu sana

Majukumu yataongezeka kukusanya assignment , kufatilia vipindi , taarifa nk makorokocho yote


Faida labda utajuana na wahadhiri wa kozi yako na darasa zima litakujua sasa sijui kama hii ni faida

Na zile elfu 2000 za CR fees utazila
 
Kuwa CR hakutakusaidia chochote mdogo wangu. Kikubwa nakushauri hilo boom tumia vizuri maana baada ya miaka 3, 4 au 5 utaingia kitaa kuja kuwatumikia jamaa zako ulio waacha shule ya msingi.
Kweli hakisaidii chochote kwa mtazamo wa watu wengine ila binafsi ninatarget kitu
 
Hutoweza kudoji kila kipindi lazima uwepo utakuwa roboti tu na kwa maisha ya chuo kudoji kutafuta muda wako ni muhimu sana

Majukumu yataongezeka kukusanya assignment , kufatilia vipindi , taarifa nk makorokocho yote


Faida labda utajuana na wahadhiri wa kozi yako na darasa zima litakujua sasa sijui kama hii ni faida

Na zile elfu 2000 za CR fees utazila
Duh duh duh napenda kudoji sana bas inabidi nimtafute rafiki CR ili nile maisha nashukuru ndungu komment yako had impact in my vision
 
Mimi nilikuwa Cr pale IFM. Then wakati 'nahamia' uD, wana darasa walikataa resignation yangu. Niliforce kingi tukapata CR mpya.
Then pale uD pia nilifanikiwa kuwa Cr.
Nili resign baada ya kupata kazi huku nasoma.
Ni kazi rahisi tu...
 
Its a waste of time labda kama we ni uvccm teh teh teh
 
Back
Top Bottom