Civil Engineering Special Thread!

Wakuu msaada wenu nauliza
Je designing ya surface drainage (side drainage) inafanana na designing ya drainage inayopita kweny mitaa..!?
 
Wakuu msaada wenu nauliza
Je designing ya surface drainage (side drainage) inafanana na designing ya drainage inayopita kweny mitaa..!?

Hujaeleza vizuri drainage zako. But kuna zile factor za manning na equation zake zitasaidia unachotaka
 
nimetumia muda mwingi sana kujiimarisha katika autocad na ArchCAD, na nilitaka nianze master series, bt some of ma college mates wakawa wanadai naconcetrate na vitu ambavyo sitavitumia kwa saana
 
Kwa Civil Engineer ni muhimu sana kuielewa vizuri AUTOCAD software for preparing structural drawings pia kama utajikita kwenye design ni muhimu kuweza kutumia software za analysis and design e.g Master series,Robot Structural,SAP 2000,ETABS,MIDAS,Orion na Protas structure na zingine nyingi(Kila moja ina advantage yake though zote zinatumika kufanya structural Design).Baada ya kumaliza chuo huwezi jua wapi utafanya kazi(Design office or Site),ni vizuri kujiweka vizuri kwa kadri utakavyoweza.
 
Safii sanaa!
 
Ushauri mzuri huu!!
 
Mimi nmejifunza sana AutoCAD kwenye drawing na ORION kwenye structure analysis nmefanikiwa kuziweza kiwango kizuri

Master series nlikuwa nakosa pa kupata hio software na nliamini orion na autoCad zinatosha
Kupitia uzi huu nmefanikiwa kujifunza umuhimu wa master
series.nlikuwa Naomba msaada ma engineer wenzangu wa link ya ku download master series au mtu anaejua setup yake kwa kudownload naomba anielekeze

Natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Sisi tulio wengi mara nyingi tunacrake vichwa kufanya design manually na kudevelop our own way of design through programming via excel spreadsheets.
Software ukizizoea sana at the end of day unapoteza critical thinking.
 
Sisi tulio wengi mara nyingi tunacrake vichwa kufanya design manually na kudevelop our own way of design through programming via excel spreadsheets.
Software ukizizoea sana at the end of day unapoteza critical thinking.
Lengo langu ni kujifunza kutumia hii program mana kuna vitu sio rahisi kuvitengeneza kwa excel.Naomba nisaidie hio link engineer
 
Sisi tulio wengi mara nyingi tunacrake vichwa kufanya design manually na kudevelop our own way of design through programming via excel spreadsheets.
Software ukizizoea sana at the end of day unapoteza critical thinking.
Ni kweli na ni vizuri kufanya hivyo mkuu,hongera pia kwa kuwa na hizo skills.Ila inapotokea ukakutana na structure itakayokuhitaji kufanya advanced analysis e.g seismic analysis,hapo kutumia manual method it will cost you alot of time and possible errors.Software zinarahisisha kazi na kupunguza time ya kumaliza project.Hata hivyo ni muhimu sana kuwa na uwezo wa kufanya manual design na kuelewa vizuri design procedures hata kama unatumia hizo software.
 
Pia Kama Kuna Mtu ana Kitabu Kinaitwa Why Buildings Falls Naomba Akiweke Hapa..
 
Interesting thread nimetoka kupiga masterseries mda c mrefu nafungua Jf nakutana na mambo mazuri
 
Interesting thread nimetoka kupiga masterseries mda c mrefu nafungua Jf nakutana na mambo mazuri
Hahahaa Bless Mkuu Ndio Maana Tupo Hapa..
 

Hii construction failure unafikiri imesababishwa na nini?
habari wahandisi, kwa harakaharaka hapo jengo nazani litakua limesababishwa na sababu zifuatazo.
KUTOKUFANYA SOIL INVESTIGATION.
hapo kwenye picha naona kama wameweka pad foundation, ambapo kila footing inajitegemea kusambaza mzigo wa jengo sasa shida inakuja kama kweli hawakufanya utafiti wa udongo vizuri , hizo footing kwa sababu zinasambaza mzigo wa jengo kwa uwiano sawa sasa inakuwa shida pale kusambaza mzigo huohuo chini ya ardhi.. hapa unakuta sehem flani ya ardhi ina uwezo mdogo kuhimili mzigo wa jengo kulinganisha na sehemu nyingine( bearing capacity is not the same from each pad footing) .
sasa hapo kwa vile uwezo wa udongo sio mzuri ilitakiwa waweke msingi unaoitwa raft foundation ambao siku zote unajengwa endapo udongo unauwezo mdogo waa kubeba mzigo.
CONSOLIDATION OF SOIL
Nikimanisha uwezo wa udongo kunywa maji.. kwenye hio picha pembeni utaona kuna maji mengi sasa inawezekana mkandarasi aliejenga hilo jengo alifanya soil investigation vizuri kabisa.. ila sasa nahisi akajisahau kuangalia effect ya maji ya pembeni.. kama hali ya udongo wa hapo ni clay soil.( baada ya kufanya soil classification sytem) huu udongo waga unatabia ya kunywa maji sasa hapo kama yale maji ya pembeni yalikuwa yanapita chini kwa wingi lazima tu yatakuwa yanapunguza bearing capacity ya udongo na mwisho wa siku ndo jengo limefeli kama unavoliona.
DESIGN CALCULATION ERRORS.
sababu zingine zinaweza kuwa , low strength of steel( namanisha uwezo wa zile nondo) walizotumia inawezekana walitumia zenye diammeter ndogo tofauti na walivodesign hii inawezapelekea columns na beams kushindwa kuhimili uzito wa jengo kwa mda uliopangwa ( reduction of life span of the structure).

inaccurate grade of concrete used, hapa inawazekana kabisa hata tests kama vile slumps tests, compressive strength of concrete hazikufanyika ipasavyo hivyo kutumia zege ambalo halina kiwango linapunguza jengo kuweza kutumika kwa mda mrefu na mwisho wa siku linafeli.
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…