Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 464
- 1,190
Habari wadau. natoa ofa ya kuelekeza jinsi ya kudesign sakiti za kielectronic kwa wenye uhitaji. Gharama ni sawa na bure. 20000 tu kwa mwezi na ntafundisha kwa njia ya group, TELEGRAM na WHATSAPP.
KUMBUKA: Hiyo gharama ni ndogo sana ukilinganisha na elimu unayopata. Najitolea kuhakikisha wabunifu wa sakiti wanaongezeka na sio kila siku walewale.
Anaetaka kujiunga atume dm ntampa group link. Darasa linaanza jumatatu.
WASIFU WANGU KWA UFUPI.
KUMBUKA: Hiyo gharama ni ndogo sana ukilinganisha na elimu unayopata. Najitolea kuhakikisha wabunifu wa sakiti wanaongezeka na sio kila siku walewale.
Anaetaka kujiunga atume dm ntampa group link. Darasa linaanza jumatatu.
WASIFU WANGU KWA UFUPI.
- BSc in Engineering.
- Advanced electronics
- Embedded firmware developer.
- HMI systems.