Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,455
- 1,657
Mkuu.. Ifikapo saa sita kamili uciku wa leo.. Cimu zote fake zitakuwa phased out.. Hazitatumika tena.. Network itagundua cimu ambayo ni fake through IMEI No.. Na itaikataa kuitambua.. Kwenye projections zao wamesema celfon 2.5M ni fake na zitaondolewa.. Umenipata..?
wabongo wagumu sana kuelewa mkuu....mbona jii issue ipo tu...na watu walishapewa two monthes ya kujiandaa...