Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,685
Mara ya mwisho kumuona ni ktk jukwaa la Ajira!akifurahia na kushanglia kupata kazi Utumishi wa umma!amekauka sana jukwaani!yawezekana ni majukumu ya kitaifa!lakini pitiapitia hata huku!dah kweli kazi tamu...