Hata tetemeko la Bukoba wao ndio walipata taarifa za awali kabla ya MaguAisee wamarekani C watu wa mchezo mchezo, nimeingia katika WEB library ya Central intelligence Agency Nimekuta data ambazo hata Serikali ya TZ hawana, nimeona data mbalimbali kila aina, kilichonistua ni hizi takwimu za wakristo na waislamu tanzania hizi hapa chini
Christian 61.4%, Muslim 35.2%, folk religion 1.8%, other 0.2%, unaffiliated 1.4%
note: Zanzibar is almost entirely Muslim (2010 est.)
Kwa data zaidi ingia link hii hapa
The World Factbook — Central Intelligence Agency
Je hizi data za wamarekani ni za kweli????
Fanya utafiti. Kama uliweza kutafuta hizo data umeshindwaje kutafiti kujua kama ni sahihi?Aisee wamarekani C watu wa mchezo mchezo, nimeingia katika WEB library ya Central intelligence Agency Nimekuta data ambazo hata Serikali ya TZ hawana, nimeona data mbalimbali kila aina, kilichonistua ni hizi takwimu za wakristo na waislamu tanzania hizi hapa chini
Christian 61.4%, Muslim 35.2%, folk religion 1.8%, other 0.2%, unaffiliated 1.4%
note: Zanzibar is almost entirely Muslim (2010 est.)
Kwa data zaidi ingia link hii hapa
The World Factbook — Central Intelligence Agency
Je hizi data za wamarekani ni za kweli????
SISI TUNAOA WAKE WANNE IWEJE TUWE WACHACHE?MBONA IDADI YETU INAPUNGUA BADALA YA KUONGEZEKA?Aisee wamarekani C watu wa mchezo mchezo, nimeingia katika WEB library ya Central intelligence Agency Nimekuta data ambazo hata Serikali ya TZ hawana, nimeona data mbalimbali kila aina, kilichonistua ni hizi takwimu za wakristo na waislamu tanzania hizi hapa chini
Christian 61.4%, Muslim 35.2%, folk religion 1.8%, other 0.2%, unaffiliated 1.4%
note: Zanzibar is almost entirely Muslim (2010 est.)
Kwa data zaidi ingia link hii hapa
The World Factbook — Central Intelligence Agency
Je hizi data za wamarekani ni za kweli????
Hao CIA si ndo walisema Saddam ana silaha za maangamizi Wakati siyo kweli!. Hao ni wa kupuuza tu, ni lini wamefanya sensa nchini?
Tungeweza kujua ukweli kama serikali ingekubali takwa la masheikh la kuweka kipengele cha dini za watu ktk sensa!
Hizi speculation za aina hii ndiyo maana Masheikh wakataka kukatwa mzizi wa fitina, kiwekwe kipengele cha dini za watu, ukweli ujulikane!
Huwezi ukatoa kitu tofauti na udini.Aisee wamarekani C watu wa mchezo mchezo, nimeingia katika WEB library ya Central intelligence Agency Nimekuta data ambazo hata Serikali ya TZ hawana, nimeona data mbalimbali kila aina, kilichonistua ni hizi takwimu za wakristo na waislamu tanzania hizi hapa chini
Christian 61.4%, Muslim 35.2%, folk religion 1.8%, other 0.2%, unaffiliated 1.4%
note: Zanzibar is almost entirely Muslim (2010 est.)
Kwa data zaidi ingia link hii hapa
The World Factbook — Central Intelligence Agency
Je hizi data za wamarekani ni za kweli????
Huwezi ukatoa kitu tofauti na udini.unafurahia sana udini sivyo?Aisee wamarekani C watu wa mchezo mchezo, nimeingia katika WEB library ya Central intelligence Agency Nimekuta data ambazo hata Serikali ya TZ hawana, nimeona data mbalimbali kila aina, kilichonistua ni hizi takwimu za wakristo na waislamu tanzania hizi hapa chini
Christian 61.4%, Muslim 35.2%, folk religion 1.8%, other 0.2%, unaffiliated 1.4%
note: Zanzibar is almost entirely Muslim (2010 est.)
Kwa data zaidi ingia link hii hapa
The World Factbook — Central Intelligence Agency
Je hizi data za wamarekani ni za kweli????
Annael . . ,Hizo data CIA wamezipata wapi? au wamebuni!!? Mbona mimi sijawahi ona CIA wakija kuniuliza dini yangu?
Aisee wamarekani C watu wa mchezo mchezo, nimeingia katika WEB library ya Central intelligence Agency Nimekuta data ambazo hata Serikali ya TZ hawana, nimeona data mbalimbali kila aina, kilichonistua ni hizi takwimu za wakristo na waislamu tanzania hizi hapa chini
Christian 61.4%, Muslim 35.2%, folk religion 1.8%, other 0.2%, unaffiliated 1.4%
note: Zanzibar is almost entirely Muslim (2010 est.)
Kwa data zaidi ingia link hii hapa
The World Factbook — Central Intelligence Agency
Je hizi data za wamarekani ni za kweli????
Ziko sahihi wamezipata wapi? Ndio swali langu. Maana sijawahi kuulizwa mimi dini yangu.Annael . . ,
Hukui tuu . . ?!
Hivi wewe unawaamini sana hao viongozi wako wa nchi hii . . ? Kwa umaskini tulionao, inawezekana kabisa kupata taarifa nyeti za nchi hii kupitia hawa hawa tuliowapa madaraka . .
Kama Saidi Kubenea na waandishi wengine wadogo wadogo tuu wanatufungua macho kwa takwimu na taarifa za taasisi zetu zilizo oza, sembuse CIA . . ?!
Kwa umaskini wetu , wanaweza kabisa kutununua na kupata taarifa yoyote SAHIHI waitakayo kuhusu Tanzania. .
Takwimu hizi hazina ubaya wowote, tatizo lipo kwa wale wanaokwenda kuzichakata takwimu hizi na kuzitumia dhidi yetu wa Tanzania . . Hata hivyo taasisiza Usalama wa nchi, sheria za usalama wa nchi zipo kuzuia lolote la hovyo kuibuka . .
Takwimu hizo ziko sahihi kabisa . .