CHURA: JKT Taarab walitisha sana enzi hizo !

Ms Judith

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
2,563
918
Wapendwa,

Hakuna ubishi kuwa huu wimbo ni wa zamani sana na sijui mwaka gani ulitungwa na kuchezwa ila kwa kweli naupenda sana maudhui yake!!

Wakubwa wanasema umejaa mafumbo matupu, anayejua unafumba nini, naomba atujuze.

WIMBO: Chura
ALBUM: Sina hakika
KUNDI: JKT Taarab



MASHAIRI

1. Chura nakuulizia unipe jibu makini,
kwa kila inyapo mvua wakimbilia bwawani
Huna nguo za kufua na wala huna sabuni,
nijibu yapate tua maji utayafanyani

Chorus
Chura punguza vituko na wako uhayawani,
umezua sokomoko watu hawaeleni
Ukivunjika mgongo, dawa atakupa nani?


2. Mwenzenu nilikisia ni mlinzi kisimani,
mtu utamzuia maji akiyatamani
Akaja dada Rukia na ndooye mkononi,
chura ukajing`atua ukajitosa pembeni

Chura punguza vituko &[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

3. Chura bora kuamua wende kulima shambani,
mazao kujipatia wende kuuza sokoni
Nguo kujinunulia isitiri maungoni,
au ukitaka ndoa nenda kaoe nyumbani.

Chura punguza vituko &[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];

Tuendelee kuburudika kwa raha zetu na tukifurahia na kumshukuru Mungu kuingia mwaka mpya 2012..

Naomba mwenye audio clip, tafadhari atuwekee,

Mbarikiwe sana wapendwa.

Glory to God!!
 
Chura nakuulizia unipe jibu makini,
kwa kila inyapo mvua wakimbilia bwawani
Huna nguo za kufua na wala huna sabuni
,
nijibu yapate tua maji utayafanyani

eeeh ...chura ..kibokooo

Chura punguza vituko na wako uhayawani,
umezua sokomoko watu hawaeleni
Ukivunjika mgongo, dawa atakupa nani?

wee chura wee.....

Twende kazi
 
wapendwa,

hakuna ubishi kuwa huu wimbo ni wa zamani sana na sijui mwaka gani ulitungwa na kuchezwa ila kwa kweli naupenda sana maudhui yake!!

wakubwa wanasema umejaa mafumbo matupu, anayejua unafumba nini, naomba atujuze.

WIMBO: Chura
ALBUM:
sina hakika
KUNDI:
JKT Taarab

Chura nakuulizia unipe jibu makini,
kwa kila inyapo mvua wakimbilia bwawani
Huna nguo za kufua na wala huna sabuni,
nijibu yapate tua maji utayafanyani

Chorus
Chura punguza vituko na wako uhayawani,
umezua sokomoko watu hawaeleni
Ukivunjika mgongo, dawa atakupa nani?


2.
Mwenzenu nilikisia ni mlinzi kisimani,
mtu utamzuia maji akiyatamani
Akaja dada Rukia na ndooye mkononi,
chura ukajing`atua ukajitosa pembeni

Chura punguza vituko ………………………

3.
Chura bora kuamua wende kulima shambani,
mazao kujipatia wende kuuza sokoni
Nguo kujinunulia isitiri maungoni,
au ukitaka ndoa nenda kaoe nyumbani.

Chura punguza vituko ………………………

tuendelee kuburudika kwa raha zetu na tukifurahia na kumshukuru Mungu kuingia mwaka mpya 2012!!

naomba mwenye audio clip, tafadhari atuwekee,

mbarikiwe sana wapendwa,

Glory to God!!
Naona Huu wimbo umeupenda sana na thread nyingine umeanzisha.hizi ndizo taarabu fumbo lake lahitaji kufikiri kwa kina!
 
Naona Huu wimbo umeupenda sana na thread nyingine umeanzisha.hizi ndizo taarabu fumbo lake lahitaji kufikiri kwa kina!

take easy mpendwa. hiii iko entertainment kama burudani tu kwa mwenye interest na ile iko jukwaa la lugha na kuna tu vitu ninataka wajuvi wa kiswahili watusaidie

ubarikiwe sana

Glory to God!
 
Huu ni mmoja wa nyimbo za Taarab nizipendazo. Nyingine ni Njiwa peleka salamu, Macho yanacheka moyo unalia, Kifo cha Mahaba, Sabalkheri mpenzi, Nahodha wa mashua, Nyuki, Mahaba ya dhati, Nimezama etc.
 
wapendwa,

hakuna ubishi kuwa huu wimbo ni wa zamani sana na sijui mwaka gani ulitungwa na kuchezwa ila kwa kweli naupenda sana maudhui yake!!

wakubwa wanasema umejaa mafumbo matupu, anayejua unafumba nini, naomba atujuze.


WIMBO: Chura
ALBUM:
sina hakika
KUNDI:
JKT Taarab

Chura nakuulizia unipe jibu makini,
kwa kila inyapo mvua wakimbilia bwawani
Huna nguo za kufua na wala huna sabuni,
nijibu yapate tua maji utayafanyani

Chorus
Chura punguza vituko na wako uhayawani,
umezua sokomoko watu hawaeleni
Ukivunjika mgongo, dawa atakupa nani?


2.
Mwenzenu nilikisia ni mlinzi kisimani,
mtu utamzuia maji akiyatamani
Akaja dada Rukia na ndooye mkononi,
chura ukajing`atua ukajitosa pembeni

Chura punguza vituko ………………………

3.
Chura bora kuamua wende kulima shambani,
mazao kujipatia wende kuuza sokoni
Nguo kujinunulia isitiri maungoni,
au ukitaka ndoa nenda kaoe nyumbani.

Chura punguza vituko ………………………

tuendelee kuburudika kwa raha zetu na tukifurahia na kumshukuru Mungu kuingia mwaka mpya 2012!!

naomba mwenye audio clip, tafadhari atuwekee,

mbarikiwe sana wapendwa,

Glory to God!!

chura.....................

ni kijana wa kijiweni na asiye na kazi ambaye kutwa kuchwa hukaa akipiga soga................... bwawa ni setting yta mjini na maisha ya mjini kwa ujumla.............. pamoja na makeke yote kuwa najua maisha na starehe za mijini lakini ukweli ni kuwa hata yeye anazisikia kwenye bomba tu................. kwa sababu ya kukosa jeuri ya pesa............... wala hana kazi ya kumuingizia kipato.................. hawa ndio wale unaowakuta kandpo ya barabara wanajua kila gari ni la nani ila wao hawana japo baiskeli................

maji ni starehe na anasa za za mijini.............

dada rukia anawakilisha wenye pesa zao hapa mjini................

anashauriwa arudi shambanmi alime na akipata nazao auze na kujinunulioa nguo zimsitiri................. manake anatia aibu kwa kuanza kutembea mtupu kwa uvivu wa kufanya kazi................ na kama anatafuta mchumba/kazi, basi hata huko shambani (nyumbani) wasichana (wachumba/kazi) wapo na ni bora akaoe huko (akafanye kazi za shamba) kuliko huku mjini............... for obvious reasons................
 
Chura punguza vituko ………………………

tuendelee kuburudika kwa raha zetu na tukifurahia na kumshukuru Mungu kuingia mwaka mpya 2012!!

naomba mwenye audio clip, tafadhari atuwekee,

mbarikiwe sana wapendwa,

Glory to God!!


Mkuu Ms Judith naona umeomba audio clip ya Wimbo wa Chura. Bahati mm ninao na link ni hii hapa chini.

Hizi nyimbo ni adimu na mimi mwenyewe nimehangaika sana mpaka kupata audio zake - anyway kama unahitaji na nyingine kama Njiwa Peleka salamu & others just ask na ntakupatia Link.

Nawatakia usikilizaji mwema

Note: By the way, kundi ni JKT na siyo JWTZ



Audio clip: Chura - JKT Taarab

http://dl.dropbox.com/u/52629254/dotworld/songs/T-Chura.mp3




 
Mkuu Ms Judith naona umeomba audio clip ya Wimbo wa Chura. Bahati mm ninao na link ni hii hapa chini.

Hizi nyimbo ni adimu na mimi mwenyewe nimehangaika sana mpaka kupata audio zake - anyway kama unahitaji na nyingine kama Njiwa Peleka salamu & others just ask na ntakupatia Link.

Nawatakia usikilizaji mwema

Note: By the way, kundi ni JKT na siyo JWTZ



Audio clip: Chura - JKT Taarab

http://dl.dropbox.com/u/52629254/dotworld/songs/T-Chura.mp3





mpendwa,

sijui nitumie maneno gani kukushukuru. kwa kweli nimeusave na ninaburudika hadi ma bone marrow zinatikisika! jamani, naona ngoja nikushukie kwenye PM manake hapa naweza hata kuambulia ban kwa sababu ya furaha ya hii burudani uliyonipa leo!

Mungu akubariki sana mpendwa,

Glory to God!
 
Huu ni mmoja wa nyimbo za Taarab nizipendazo. Nyingine ni Njiwa peleka salamu, Macho yanacheka moyo unalia, Kifo cha Mahaba, Sabalkheri mpenzi, Nahodha wa mashua, Nyuki, Mahaba ya dhati, Nimezama etc.

Kinyozi
 
Wakuu, hizi nyimbo zote ntaziweka hapa Jukwaani muda si mrefu ili muweze kudownload & kuzisikiliza!

Stay Tuned!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom