Chupu chupu niage dunia

Chupu chupu niage dunia

Existentialist

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
554
Reaction score
377
WanaJF Mambo haya bana ya raha yake.

Baada ya mizunguko ya kazi zetu hizi za Auditing za kuzunguka kila sehemu hasa mikoani mara moja sana nje ya nchi.

Jana ndo nimerudi home baada ya week tatu sasa toka nitoke nikiwa na hamu sana na shemeji yenu, bhanaaa nikaomba shemeji yenu anipe company ya kuoga wote.

Uwiiii si tukateleza bafuni wakati tunaniiiiiiiiiiiiii......pona yangu niliwahisha mkono ukutani tukawa tumeanguka style fulan hvi.......usiniulize tulikuwa tunatumia style gani?....

Bafuni patamu ila kuweni makini na style ya kutumia.
 
sasa kwa nini hujaaga bana? sie saizi tungekuwa bize kutafuta madera ya kuvaa msibani. ..halafu shigongo naye angekuwa amepata bonge la story ya kufungia mwaka...lol
 
Hadi nawasikitikia.

Na nyie mnaanza kufuata nyayo kwa kila kitokeacho kuja kukianika.

Sijaona umuhimu hapo kwan sio kila kitu tunapaswa kujua wanajukwaa.
Ndo maana nkasema hivyo, mwanaume kufanya mapenzi chooni au wapi ukaanguka si kitu cha kuja kuandika kwenye mitandao..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom