Chupi

Kazi yake ni kufunika ile kitu namesa mwensie............

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
kusitiri sehemu za siri ila usivae inayobana sana,ni hatari kiafya
 
Lakini swali lako ni zuri ila umepost kwenye jukwaa la watu wanaofikiri kwa ----!
Ungepost kule Jf doctors ungepata majibu stahiki.

Hapo kwenye............ Unamaanisha makalio au?
 
mbavu zangu mie kwa hizi comments,afu wee mleta mada majibu yako mengine hhahaaaa dah!
na ivi usingizi umekata acha kabisa nijichekee mie
 
Kzi yake haina kazi, mana kazi yake sio kazi kwa vile kazi ya chupi ni kazi ya nguo zingne ambayo kazi hyo inafanya kama kazi zingne:confused2:
 
Zinaongeza vitamin D kwa wanawake,kwa wanaume zinaongeza hamu ya kula...
 
Chupi haina faida,kwanza ukivaa mbo* inapnda,na inatakiwa inyooke mda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…