Chupi imeleta kizaazaa

Nyumba ina wapangaji wengi wakiwamo Wanawake, labda kama wanawake katika nyumba hiyo ni mkeo na huyo mdada ndio wanawake pekee. Kama kuna Wanawake wengine ndani ya hiyo nyumba ulijuwaje kama hiyo chupi ni huyo mdada?
Kwa sasa yuko peke yake mwanamke wa jirani amesafiri. Nalog off
 
Hapana Mkuu sijaomba mechi wala nini. Nalog off
 
Sijakuelewa. Nalog off

Nimesema hilo fumbo gumu...nimekupa mji ili utujibu yafuatayo:
1. je hiyo nyumba mnakaa familia mbili wewe na huyo mdada tu kwa kuweza kutambua chupi hiyo ni ya mdada au unaifahamu?
2. je hilo bafu halina komeo kiasi cha mtu kuingia tu wakati kuna mwingine? au ulikua ukimsubili huyo mdada?
3. apia kama kweli hauna uhusiano na huyo mdada. kwa urahisi wako wa kuiokota na kuanza kuifua hiyo chupi ni kweli una uhusiano nae
. Nalog off
 
huyu anataka muizoee kauli mbiu yake ya ''nalog off''
 
Mfuate mkeo kwa upole na utaratibu umueleweshe na uwe muwazi,ukibabaika kidogo tu ktk maelezo yako atatia mashaka zaidi ya hayo aliyonayo,atakuelewa 2 ila ucjefanya hivyo tena unaweza poteza uaminifu wote kwa mkeo
 
basi nikaona ngoja niisuuze ili niirudishe tena nyuma ya mlango na nimtaarifu mwenye chu pi kwa kilichotokea,basi nikiwa naisuuza ile chu pi mke wangu akaingia maliwatoni. Nalog off

Hadithi hii inatufundisha tuangushe chupi za majirani zetu wote wa kike, tusikusanye kwenye beseni moja, tuzifue weeeee hadi mke anikute.
 
Ningekuwa na nafasi ningekosoa! Inamaana hiyo maliwato haina mlango? Iweje umfungulie mlango huku unafua chupi? Hi ni novel
 
mmmh jamani hadithi hii imenikumbusha zile hadithi za bulicheka na lizabeti! au hekaya za abunuwasi! the Boss alisema kweli MMU huezi kuwa bored !

Na zile safari saba za Sigbard, na Alfu lela ulela.
 

Mshenzi weeeeeee, umeshamla huyo na haya machale ya mkeo yuko sahihi kabisa. Kwanza umejuaje kama hiyo ni chupi ya huyo dada? vp kama na huyo dada aliikuta hiyo chupi na kwamba ni mwanamke mwingine ndiyo aloisahau sio yeye?
 
Hapo huna ujanja, inabidi uombe samahani saaaaana, yaani "My wife Wako" amekukuta unafua chupi ya Mdada!!!!! Huna la kumwambia zaidi ya yeye kufahamu kuwa unakula uroda hapo. Lakini ongea naye vizuri atakuelewa ingawa hatakuamini tena.
 
Kwa kuwa tatizo limekwishatokea na wewe hujalifanya basi huna budi kufunga safari au tafuta muda wa kuongea na mkeo na umwambie ukweli ingawa najua itakuwa ngumu sana kwa yeye kukubaliana na kila unachomwambia.
Kumwambia mwanamke ambaye mkeo anashutumu kuwa anatembea na wewe kumwimbisha kuwa hamna uhusiano ni sawa na kumuweka wazi kuwa mnafanya hayo mambo,kwa huyu endelea kumchukulia kama mpangaji mwenzako na muishi kwa mipaka.
Kusema kuwa huwezi lala peke yako huo ni udhaifu mwingine ambao unajaribu kutuonesha hapa na kuonekana kuwa inawezekana ikawa ni kweli kuwa unamchakachua mpangaji mwenzako,kwanini ushindwe kulala peke yako?Na kama hujazoea kufanya hivyo kwa sasa unalala na nani?
Ushauri wangu wa mwisho ni kuwa kama inawezekana hama hapo ulipo ili kuyanusuru mapenzi yako na mwenza wako maana hata akirudi basi ujue kila siku utakuwa ni mtu wa kurekebisha vitu ambavyo vitakuwa vinatokea baina ya mpangaji mwenzako na mwenzi wako.
 
washawasha inaonekana wewe ni mtoto wa totoz iweje wife akutilie mashaka namna hiyo ?
 
Duh! leo nimecheka mpaka machozi yananitoka. Nataka kukuulizaki
tu kimoja washawasha vipi ukimkuta mkeo anafua chupi ya kidume
ambaye ni mpangaji mwenzio na tena ni bachela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…