Chupi imeleta kizaazaa

Mbembeleze mkeo asiende nyumbani; aking'ang'ania sana sana kwenda mwache aende. Nadhani hiyo itamsaidia kujua infi au smali hausi ni nini.
 
mkuu fanya kweli kabisa ujue moja na kama lawama bas zije huku umefanya kwel kuliko kupatA lawama wakat mzgo ujala
Dah! Haya itabidi niongee naye ili niweke jiwe la msingi. Nalog off
 
mkuu hujawaza kabisa....mke wako alipokukuta na hiyo chupi ungemwambia ni chupi yangu.
Mkuu ni G-string sasa ningemuambia ni yangu basi angejua watu washaanza kuni Cameron. Mie nimemuambia ukweli, ndio yamenikuta haya.

Nalog off
 
Usisikitike wala nini ndio ukweli wenyewe huo,ila kwa kuwa mie sio mpenzi wa dini nitaipeleka chu piikaombewe ktk nyumba ya ibada.

Nalog off
 
bujibuji,... umenifanya nicheke sana. japo jambo lenyewe ni la huzuni..
Bora uniazime hiyo KAPERO yako ili niifiche hii sura yangu iliyojaa huzuni.

Nalog off
 
Nashukuru kwa ushauri wako chanya mkuu, nitabadilika haraka iwezekanavyo.

Nalog off
 
sasa fanya kweli kabisa maana hapo utakosa vyote...wife na huyo mpangaji mpya. pole lkn wa kufua chupi ya asiye kuhusu. wife wako huwa unamfuluia lkn?
My wife namfulia samtaimu,ila mtaka yote hukosa yote. Nalog off
 
hiyo imekaa kikomedi hivi hyo bafu haikuwa na mlango mpaka mkeo anakuja direct then ww hata hukuhc kama mtu anakuja maana chupi ya kike mtu akiona umeishika unakuelewa vingine
Ni mawazo yako,una uhuru wa kufikiria hivyo,mlango haufungi,ukiingia unausindika na pia ni njia ya ya kwenda kwenye sink la kuoshea vyombo. Nalog off
 
1.Kwa sasa yuko peke yake,mpangaji mwenzangu mwengine my wife wake kasafiri. 2.mlango upo wa mbao ila haufungi ukitaka kujisaidia unausindika tu.3.yuko peke yake kwa sasa. Nalog off
 
nawe kweli WASHAWASHA mana una kisebu sebu hiyo chupi uliishika ya nini??????????
Ilianguka ktk yale maji yaliyokuwa yakitiririka baada ya kujimwagia mwilini mwangu,kwahiyo nikaona ni vyema nikiisuuza na kuirudisha pale ilipokuwa. Nalog off
 
Nampenda sana my wife wangu jamani,msiniombee hayo. Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…