lala uchi kipindi cha popo bawa.asubuh utakuta umevunjiwa mayai km trei hivoSioni faida ya chupi iwe Usiku au mchana, ni anasa tu! Pesa ya kununulia chupi ingekusanywa ingeweza kufanya mambo ya maana sana kuliko kuvaa nguo za ghali ambazo zimefichwa ndani, ni ukichaa fulani hivi.
hahahaha eti wanabofyaa... hahahahahaHapo ndipo utakapoona umuhimu wa kuvaa pichu au boska .....wakati huo wazee wanabofya
wacha wabofye..kwani anakaa apo mwaka?? ahahahhahaHapo ndipo utakapoona umuhimu wa kuvaa pichu au boska .....wakati huo wazee wanabofya
si bora avunjie nje...unaenda kuhara kikombe...hahahhalala uchi kipindi cha popo bawa.asubuh utakuta umevunjiwa mayai km trei hivo
HAHAHAHAAA? ....ASANTE KWA KUNIONGEZEA CKU ZA KUISHI MISS NATAFUTAtulizaliwa uchi ,tutaishi uchi tutakufa uchi
Hakuna lolote hawa wanataka kuhamasisha ngono tu mbona tunavaa boxer na hatuoni hayo madhara
haaaaa!!!!!!!!!!!!!1wacha wabofye..kwani anakaa apo mwaka?? ahahahhaha
Lala uchiAhsante Kwa Taarifa, Kuazia Leo Usiku Nitakuwa Navaa Kanzu.
Bora zirudi zile chupi zetu za zamani zanye matundu matundu.
Duuuh... kwahiyo mkuu wewe huvaagi?Sioni faida ya chupi iwe Usiku au mchana, ni anasa tu! Pesa ya kununulia chupi ingekusanywa ingeweza kufanya mambo ya maana sana kuliko kuvaa nguo za ghali ambazo zimefichwa ndani, ni ukichaa fulani hivi.