b191
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 742
- 1,031
Hapo ndipo utakapoona umuhimu wa kuvaa pichu au boska .....wakati huo wazee wanabofyaLala uchi wezi wakuingilie na sikuhiz wanapulizia madawa ya usingiz
Wee unavaa nni bibiekuna watu wanavaa chupi hadi leo?
tulizaliwa uchi ,tutaishi uchi tutakufa uchiWee unavaa nni bibie
Wasichana...yes wapokuna watu wanavaa chupi hadi leo?
Acha spid bas tunaishi uchi? Mbona hapo ulipo umevaa! Tutakufa uchi? Labda ufie bafuni!tulizaliwa uchi ,tutaishi uchi tutakufa uchi
Ata ivyo wanaume hatuvaagi chupi labda wew tu..! Wanaume ni boxer bana chupi ni za madadaHivi kuna watu wanavaa chupi hadi leo? mimi nalala mtupu kabisa boxer navua sitaki problems
Mimi nimeona hoja iliyokuwepo kwani chupi haziuzwi madukani? ila mimi nilishahama huko siku nyingi probaply 20 yrs backAta ivyo wanaume hatuvaagi chupi labda wew tu..! Wanaume ni boxer bana chupi ni za madada