Chupa za maji zinahitajika

Chupa za maji zinahitajika

MfalmewaKiha

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
1,191
Reaction score
1,244
Habari za Wakati huu,
Ndugu wadau najua hii ni sehem ni sehem ambayo naweza kuomba mchango japo wa mawazo kisha nikafanikiwa


Ombi langu Leo naomba unisaidie mwenye mawaailiano na kiwanda cha Maji, ambacho naweza Kutoa oda Nikatengenezew Maji Special.
kiwanda hicho kiwe Arusha /Moshi, maana Mimi niko Babati -Manyara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za Wakati huu,
Ndugu wadau najua hii ni sehem ni sehem ambayo naweza kuomba mchango japo wa mawazo kisha nikafanikiwa


Ombi langu Leo naomba unisaidie mwenye mawaailiano na kiwanda cha Maji, ambacho naweza Kutoa oda Nikatengenezew Maji Special.
kiwanda hicho kiwe Arusha /Moshi, maana Mimi niko Babati -Manyara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una maana utengenezewe Maji according to your demand/needs e.g quality, packing, size au mi ndo sijakuelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom