Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
- Thread starter
- #21
Au sio... Sio issue yangu japokuwa ukweli umeongea, nilishuhudia mno nilipokuwa chuo mpaka kulia wakati mwingine. Sikuwa na maisha ya dhiki chuoni, wazazi walijitahidi kuni-support pia nilikuwa na boom, kwa hiyo ilikuwa bam bam tu kwa upande wangu kaka.Mkulungwa01 una matatizo sana hata humu JF unaishi kwa tabu. Achana na mademu wa chuo kama unaona wanakutatiza chukua wa uraiani wa level zako. Ukweli ni kuwa ukiwa na hela chuo unapewa attention na upendo wa kulazimisha bila kusahau heshima
Sent using Jamii Forums mobile app