2mbaku
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 316
- 67
SIKU moja baada ya Chuo Kikuu cha Dares Salaam kuwafukuza wanafunzi 43 , Uongozi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), umewasimamisha masomo wanafunzi 66 kwa tuhuma za kuwa vinara wa vurugu chuoni hapo.Mbali na hatua hiyo, uongozi wa chuo hicho umeeleza kuwa mipango ya vitisho na uvunjifu wa amani chuoni hapo, bado ipo na inaleta hofu kwa walimu na wanafunzi wengine wanaoendelea na masomo.
Pallangyo alisema pia vurugu hizo zinaweza kuwa na athari kubwa hasa kwa wafadhili wao wakubwa ambao ni serikali ya Sweden, ambao walikuwepo Desemba 8, wakati wa sherehe ya utafiti chuoni hapo.
Source:Mwananchi
Pallangyo alisema pia vurugu hizo zinaweza kuwa na athari kubwa hasa kwa wafadhili wao wakubwa ambao ni serikali ya Sweden, ambao walikuwepo Desemba 8, wakati wa sherehe ya utafiti chuoni hapo.
Source:Mwananchi