Chuo Kikuu Muhimbili namba moja

Quimica

JF-Expert Member
Feb 21, 2018
749
597
Habari,

Kama juzi kati mliona ilikuwa inavuma sana mitandaoni baada ya Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kuweza kuibuka kinara Africa Mashariki na Africa ya Kati kwa kuwapiku vyuo vikubwa ikiwemo Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya na Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaaam (UDSM).

Vilevile Chuo cha Muhimbili kiwefanikiwa kuwa namba 401 kwa ubora kati ya vyuo vikuu 20,000 (elfu Ishirini) vilivyopo Dunia nzima. Chuo cha Muhimbili kinapatikana Upanga, Wilaya ya Ilala Dar-es-salaaam. Na Takwimu hizo zimetolewa na tovuti kubwa duniani ya kutoa takwimu ya vyuo vikuu Iitwayo Times Higher Education ambapo;

~Muhimbili University 401
~ University of Nairobi 601
~ Makerere University 801
~ University Of Dar-es-Salaam (UDSM) 1501

Ubora wa Chuo cha muhimbili umetokana na kuongezeka kwa tafiti za wanafunzi na wahadhiri kuongezeka kwa nukuu pamoja na ufundishaji.


Ma3stro De Quimica !!!OP
Screenshot_20221016-160857_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20221022-101803_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20221022-101954_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20221016-171835_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20221016-160958_Samsung%20Internet.jpg

View attachment 2394438
 

Makanyaga

JF-Expert Member
Sep 28, 2007
9,012
5,980
Habari,

Kama juzi kati mliona ilikuwa inavuma sana mitandaoni baada ya Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kuweza kuibuka kinara Africa Mashariki na Africa ya Kati kwa kuwapiku vyuo vikubwa ikiwemo Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya na Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaaam (UDSM).

Vilevile Chuo cha Muhimbili kiwefanikiwa kuwa namba 401 kwa ubora kati ya vyuo vikuu 20,000 (elfu Ishirini) vilivyopo Dunia nzima. Chuo cha Muhimbili kinapatikana Upanga, Wilaya ya Ilala Dar-es-salaaam. Na Takwimu hizo zimetolewa na tovuti kubwa duniani ya kutoa takwimu ya vyuo vikuu Iitwayo Times Higher Education ambapo;

~Muhimbili University 401
~ University of Nairobi 601
~ Makerere University 801
~ University Of Dar-es-Salaam (UDSM) 1501

Ubora wa Chuo cha muhimbili umetokana na kuongezeka kwa tafiti za wanafunzi na wahadhiri kuongezeka kwa nukuu pamoja na ufundishaji.


Ma3stro De Quimica !!!OP View attachment 2394378 View attachment 2394380 View attachment 2394381 View attachment 2394382 View attachment 2394383
View attachment 2394438
Muhimbili we iache tu siku hizi. Kwa sasa ina uwezo wa kuzalisha madaktari ambao wakikaa theatre kufanya kazi, matokeo yake yakitoka utadhani kazi ilifanywa na malaika waliokuwa wameshuka kutoka mbinguni! They deserve
 

Quimica

JF-Expert Member
Feb 21, 2018
749
597
Habari,

Kama juzi kati mliona ilikuwa inavuma sana mitandaoni baada ya Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kuweza kuibuka kinara Africa Mashariki na Africa ya Kati kwa kuwapiku vyuo vikubwa ikiwemo Chuo Kikuu cha Nairobi, Kenya na Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaaam (UDSM).

Vilevile Chuo cha Muhimbili kiwefanikiwa kuwa namba 401 kwa ubora kati ya vyuo vikuu 20,000 (elfu Ishirini) vilivyopo Dunia nzima. Chuo cha Muhimbili kinapatikana Upanga, Wilaya ya Ilala Dar-es-salaaam. Na Takwimu hizo zimetolewa na tovuti kubwa duniani ya kutoa takwimu ya vyuo vikuu Iitwayo Times Higher Education ambapo;

~Muhimbili University 401
~ University of Nairobi 601
~ Makerere University 801
~ University Of Dar-es-Salaam (UDSM) 1501

Ubora wa Chuo cha muhimbili umetokana na kuongezeka kwa tafiti za wanafunzi na wahadhiri kuongezeka kwa nukuu pamoja na ufundishaji.


Ma3stro De Quimica !!!OP View attachment 2394378 View attachment 2394380 View attachment 2394381 View attachment 2394382 View attachment 2394383
View attachment 2394438
No1
P-IMG-20221016-WA0071.jpg
 
3 Reactions
Reply
Top Bottom