Kabisa Mkuu, nimefurahishwa sana na huyo Shekhe aliyewatandika bakora wanachuo. Safi sana.Hivi ndo vyuo vya kuwapeleka watoto kusoma. ..
Da hawa wazee wa takbiiri imekuaje wakakubali kuchpwa Hivyo jaman...
Mwanachuo ni mtoto?Hivi ndo vyuo vya kuwapeleka watoto kusoma. ..
Ndio Ni mtotomwanachuo ni mtoto ?
Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Kiislam wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
MUM chuo kizuri sanaWakimbie tu, chuo uchapwe na ajira uje ukose.
TakbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirrrrrrrrrMUM chuo kizuri sana
Mambo yao waachie wenyeweWhats wrong with hawa wavaa kobazi lkn?
Kiukweli me sijawahi kuwaelewa.