Chuo Kikuu Cha UDOM na UCHAFU YA MLACHA

Blessing

JF-Expert Member
Apr 21, 2009
271
11
Aisee dogo, sisi tunasema kwa nini JK aioni ovu ya Mlacha huko UDOM !!! Kwanza huyo Mlacha imewenekana kwa yeye na JK wemeoa nyumba moja kwa hivyo jK anamfunika uchafu wake which will cost him badly.

Miaka miwili au mitatu iliopita, kuna fumigation imefanyika huko kwenye nyumba za walimu wa UDOM ambae Mlacha amelipia hawa fumigation company million mia moja ambae ni hewa.

Yapili natadharia walimu wote wanao fanyakazi UDOM kuweka barua yao ya uwajiri vizuri na miaka wameingia UDOM kufundisha. Yani huko UDOM, Mlacha anakula sana pesa za walimu huko wengine ajira ina andikwa faki kwa wameajiriwa karibuni wakati wameajiriwa na kwepo miaka mengi. Dhalili zingine ni mchango mengine inaotolewa kwenye mshahara ya hawa wafanyakazi azijulikani zinaenda wapi. Kwa kweli tumechoka na huyo Mlacha kwanza yeye hatakiwi kwepo kwa sababu his profession does not allow him to hold the position he is holding. We want JK to take him out of UDOM. Kama kazi ya undugu amweke ofisini kwake au nyumbani wake. Mlacha is not wanted at UDOM na UDOM sio zake asiendeshe Chuo kama zake. Tunataka Auditing iingilie majira ya wafanyakazi ya UDOM kujua ukweli. Asifunikwe na Mustafa Mkulo.
 
Hivi kumbe kiburi chote ni kwa sababu ya ushemeji..,mbona jk anataka kutuharia nchi na huu uswahiba na undugulization..!?
 
Aisee dogo, sisi tunasema kwa nini JK aioni ovu ya Mlacha huko UDOM !!! Kwanza huyo Mlacha imewenekana kwa yeye na JK wemeoa nyumba moja kwa hivyo jK anamfunika uchafu wake which will cost him badly.

Miaka miwili au mitatu iliopita, kuna fumigation imefanyika huko kwenye nyumba za walimu wa UDOM ambae Mlacha amelipia hawa fumigation company million mia moja ambae ni hewa.

Yapili natadharia walimu wote wanao fanyakazi UDOM kuweka barua yao ya uwajiri vizuri na miaka wameingia UDOM kufundisha. Yani huko UDOM, Mlacha anakula sana pesa za walimu huko wengine ajira ina andikwa faki kwa wameajiriwa karibuni wakati wameajiriwa na kwepo miaka mengi. Dhalili zingine ni mchango mengine inaotolewa kwenye mshahara ya hawa wafanyakazi azijulikani zinaenda wapi. Kwa kweli tumechoka na huyo Mlacha kwanza yeye hatakiwi kwepo kwa sababu his profession does not allow him to hold the position he is holding. We want JK to take him out of UDOM. Kama kazi ya undugu amweke ofisini kwake au nyumbani wake. Mlacha is not wanted at UDOM na UDOM sio zake asiendeshe Chuo kama zake. Tunataka Auditing iingilie majira ya wafanyakazi ya UDOM kujua ukweli. Asifunikwe na Mustafa Mkulo.

ukiona hivyo hali mwenyewe , kwa sababu hizi kelele sio kwamba JK hazijui, wewe fikiria tu , kwani JK yeye ndio anapenda jina lake lichafuliwe? lazima kuna wakubwa zaidi yake wanafaidi pale ndio maana nyi kelele zenu bado wamezikaushia
 
Lugha iliyotumika kufikisha ujumbe ni mbovu sana. sijui ni kiswahili cha wapi maana hata hakieleweki. Majuzi tulisikia AUDITOR GENERAL amefanya ukaguzi UDOM, kwahiyo tunagemea kupata majibu kutoka kwake. kama kuna mwizi wa fedha za umma atafahamika tu. Tatizo letu kila mtu anaongea lake kitu ambacho sio utaratibu mzuri. mamlaka husika inatakiwa ituambie kuwa kuna uwizi na walioiba wapelekwe mahakamani lakini sio kupiga porojo tu. Nafasi ya naibu makamu mkuu wa chuo ni kubwa sana, na ina stahili mtu mwenye vigezo vya kutosha. kwa hili sidhani serikali inaweza kuweka mtu ambaye sio msomi. Swala la profession kwenye cheo cha mtu halina msingi wowote, hata kama ni professor wa dance au music (cha msingi amefanya utafiti kwenye maeneo hayo na ukakubalika na watafiti wengine duniani). Watanzania wengi bado tupo nyuma sana, wengi tunadhani maprofessor ni wale waliosoma uhandisi tu. Hilo si sahihi, professor anaweza kuwa yoyote hata kama ni profession photographer (kitu cha msingi ni kama amesoma hiyo kozi na kufanya utafiti kwenye eneo hilo). Kwahiyo swala la ushemeji au profession hapa halina nguvu, lazima serikali imempa nafasi hiyo kutokana na vigezo alivyonavyo na si vinginevyo.

Naomba kutoa hoja.
 
Aisee dogo, sisi tunasema kwa nini JK aioni ovu ya Mlacha huko UDOM !!! Kwanza huyo Mlacha imewenekana kwa yeye na JK wemeoa nyumba moja kwa hivyo jK anamfunika uchafu wake which will cost him badly.

Miaka miwili au mitatu iliopita, kuna fumigation imefanyika huko kwenye nyumba za walimu wa UDOM ambae Mlacha amelipia hawa fumigation company million mia moja ambae ni hewa.

Yapili natadharia walimu wote wanao fanyakazi UDOM kuweka barua yao ya uwajiri vizuri na miaka wameingia UDOM kufundisha. Yani huko UDOM, Mlacha anakula sana pesa za walimu huko wengine ajira ina andikwa faki kwa wameajiriwa karibuni wakati wameajiriwa na kwepo miaka mengi. Dhalili zingine ni mchango mengine inaotolewa kwenye mshahara ya hawa wafanyakazi azijulikani zinaenda wapi. Kwa kweli tumechoka na huyo Mlacha kwanza yeye hatakiwi kwepo kwa sababu his profession does not allow him to hold the position he is holding. We want JK to take him out of UDOM. Kama kazi ya undugu amweke ofisini kwake au nyumbani wake. Mlacha is not wanted at UDOM na UDOM sio zake asiendeshe Chuo kama zake. Tunataka Auditing iingilie majira ya wafanyakazi ya UDOM kujua ukweli. Asifunikwe na Mustafa Mkulo.

Hivi jamani si kuna kipindi nilisikia UDOM wanatangaza nafasi za wahadhiri si ajabu na huyu ni mmoja wa watu waliotoka nchi jirani! Hicho Kiswahili jamani hadi kinatia kichefuchefu!! Hebu rudi kwenye darasa la Kiswahili kwanza wewe usilete porojo za Ki-Kenya hapa! Ama sivyo rudi kwanza kwenu ukashughulike na ICC
 
poleni sana UDOM ili kumaliza tatizo la huyo jamaa gomeni tena mpaka atatoka tu lakini mkiendelea na porojo magazetini huyo jamaa hatatoka na ataendelea kupeta kama waliokula pesa za EPPA
 
Mmmmmmmmh mbona porojo tu? Hapa hatutaki majungu, kama huyo Mlacha amekula pesa leteni ushahidi hapahapa.
 
hakuna njia ya kuexpress vews zako kwa sasa bongo zaidi ya kugoma au kuandamana kaka! Hata mfanye nin hamtasikilizwa,gomeni au muandamane wawapige mabomu at last watadeal na hoja zenu!
 
Aisee dogo, sisi tunasema kwa nini JK aioni ovu ya Mlacha huko UDOM !!! Kwanza huyo Mlacha imewenekana kwa yeye na JK wemeoa nyumba moja kwa hivyo jK anamfunika uchafu wake which will cost him badly.

Miaka miwili au mitatu iliopita, kuna fumigation imefanyika huko kwenye nyumba za walimu wa UDOM ambae Mlacha amelipia hawa fumigation company million mia moja ambae ni hewa.

Yapili natadharia walimu wote wanao fanyakazi UDOM kuweka barua yao ya uwajiri vizuri na miaka wameingia UDOM kufundisha. Yani huko UDOM, Mlacha anakula sana pesa za walimu huko wengine ajira ina andikwa faki kwa wameajiriwa karibuni wakati wameajiriwa na kwepo miaka mengi. Dhalili zingine ni mchango mengine inaotolewa kwenye mshahara ya hawa wafanyakazi azijulikani zinaenda wapi. Kwa kweli tumechoka na huyo Mlacha kwanza yeye hatakiwi kwepo kwa sababu his profession does not allow him to hold the position he is holding. We want JK to take him out of UDOM. Kama kazi ya undugu amweke ofisini kwake au nyumbani wake. Mlacha is not wanted at UDOM na UDOM sio zake asiendeshe Chuo kama zake. Tunataka Auditing iingilie majira ya wafanyakazi ya UDOM kujua ukweli. Asifunikwe na Mustafa Mkulo.

Una hakika na unacho sema au umeamua kujifurahisha tu?!
 
hakuna njia ya kuexpress vews zako kwa sasa bongo zaidi ya kugoma au kuandamana kaka! Hata mfanye nin hamtasikilizwa,gomeni au muandamane wawapige mabomu at last watadeal na hoja zenu!

Mkuu unaushauri mzuri sana lakini waeleze na athari za mabomu ili wajipange vizuri maana wanaweza kuwa hawaelewe.

:help:
 
Aisee dogo, sisi tunasema kwa nini JK aioni ovu ya Mlacha huko UDOM !!! Kwanza huyo Mlacha imewenekana kwa yeye na JK wemeoa nyumba moja kwa hivyo jK anamfunika uchafu wake which will cost him badly.

Miaka miwili au mitatu iliopita, kuna fumigation imefanyika huko kwenye nyumba za walimu wa UDOM ambae Mlacha amelipia hawa fumigation company million mia moja ambae ni hewa.

Yapili natadharia walimu wote wanao fanyakazi UDOM kuweka barua yao ya uwajiri vizuri na miaka wameingia UDOM kufundisha. Yani huko UDOM, Mlacha anakula sana pesa za walimu huko wengine ajira ina andikwa faki kwa wameajiriwa karibuni wakati wameajiriwa na kwepo miaka mengi. Dhalili zingine ni mchango mengine inaotolewa kwenye mshahara ya hawa wafanyakazi azijulikani zinaenda wapi. Kwa kweli tumechoka na huyo Mlacha kwanza yeye hatakiwi kwepo kwa sababu his profession does not allow him to hold the position he is holding. We want JK to take him out of UDOM. Kama kazi ya undugu amweke ofisini kwake au nyumbani wake. Mlacha is not wanted at UDOM na UDOM sio zake asiendeshe Chuo kama zake. Tunataka Auditing iingilie majira ya wafanyakazi ya UDOM kujua ukweli. Asifunikwe na Mustafa Mkulo.

Mbona umechemka rafiki yangu? Lugha yenyewe ulotumia ni kichefuchefu kitupu!! Halafu inaonesha huna data za kutosha kuhusu UDOM. Wewe kwa namna ulivyo frame message yako inaonesha wala hutoki jumuia ya UDOM (i mean sio mwalimu, mfanyakazi mwendeshaji wala mwanafunzi). Na km unatoka UDOM hufai kabisa kuwepo mahala hapo maana jumuia ya UDOM haiwezi kuwa na watu wasiojua kujieleza kiasi hicho.
Cha pili, sio kweli kwamba Mlacha anakula pesa za walimu. Mfanyakazi anapoajiriwa anapewa offer letter ya kuonesha mshahara atakaokuwa analipwa na copy inaenda hazina, so hazina hawawezi leta UDOM mshahara tofauti na uliopo kwenye offer letter, na wala mfanyakazi hawzi lipwa mshahara tofauti na uliopo kwenye offer letter. Mlacha ataibaje pesa ya mwalimu hapo?
Tatu hakuna michango inayokatwa ktk mshahara wa mfanyakazi ambayo haijulikani inapoenda. Mfanyakazi wa UDOM kwa sasa anakatwa Mfuko wa hifadhi ya jamii na PAYE( ambao ni kawaida kwa mwajiriwa yyte popote) na mchango wa chama cha wafanyakazi (ambao ni hiari kwa mfanyakazi kujiunga na kuchangia).
Hoja zako nyingine nashindwa kuzijibu kwa kuwa hazieleweki ulikuwa unamaanisha nini!!!.
Kuhusu profession ya Mlacha kutoruhusu, hiyo ni non sense kwa kuwa Mlacha alichaguliwa na kamati maalumu iliyokuwa inatambua vigezo anavyotakiwa kuwa navyo makamu mkuu wa chuo( Mipango, fedha na utawala). Na alionekana anavigezo vyote.
Kwa kifupi ndugu yangu huna hoja ya msingi hapo inaelekea unatawaliwa na chuki binafsi na Prof. Mlacha
 
Mbona umechemka rafiki yangu? Lugha yenyewe ulotumia ni kichefuchefu kitupu!! Halafu inaonesha huna data za kutosha kuhusu UDOM. Wewe kwa namna ulivyo frame message yako inaonesha wala hutoki jumuia ya UDOM (i mean sio mwalimu, mfanyakazi mwendeshaji wala mwanafunzi). Na km unatoka UDOM hufai kabisa kuwepo mahala hapo maana jumuia ya UDOM haiwezi kuwa na watu wasiojua kujieleza kiasi hicho.
Cha pili, sio kweli kwamba Mlacha anakula pesa za walimu. Mfanyakazi anapoajiriwa anapewa offer letter ya kuonesha mshahara atakaokuwa analipwa na copy inaenda hazina, so hazina hawawezi leta UDOM mshahara tofauti na uliopo kwenye offer letter, na wala mfanyakazi hawzi lipwa mshahara tofauti na uliopo kwenye offer letter. Mlacha ataibaje pesa ya mwalimu hapo?
Tatu hakuna michango inayokatwa ktk mshahara wa mfanyakazi ambayo haijulikani inapoenda. Mfanyakazi wa UDOM kwa sasa anakatwa Mfuko wa hifadhi ya jamii na PAYE( ambao ni kawaida kwa mwajiriwa yyte popote) na mchango wa chama cha wafanyakazi (ambao ni hiari kwa mfanyakazi kujiunga na kuchangia).
Hoja zako nyingine nashindwa kuzijibu kwa kuwa hazieleweki ulikuwa unamaanisha nini!!!.
Kuhusu profession ya Mlacha kutoruhusu, hiyo ni non sense kwa kuwa Mlacha alichaguliwa na kamati maalumu iliyokuwa inatambua vigezo anavyotakiwa kuwa navyo makamu mkuu wa chuo( Mipango, fedha na utawala). Na alionekana anavigezo vyote.
Kwa kifupi ndugu yangu huna hoja ya msingi hapo inaelekea unatawaliwa na chuki binafsi na Prof. Mlacha

we mjusi kweli,mlacha hakuchaguliwa na kamati maalum,alichaguliwa na shem wake; Rais tena kwa handwritten letter,yan hata huelewi hata system ya kifisadi ya nchi hii ya kuchagua watendaji,.katiba mbov inampa madaraka makubwa mno rais ya ku-appoint karibia kila mtendaj wa nchi hii,matokeo yake akachagua prof. wa kiswahili akasimamie mambo ya finance,planning na adminstration kwenye institution kubwa ka UDOM,.
 
Lugha iliyotumika kufikisha ujumbe ni mbovu sana.
Mkuu chamsingi umeelewa tena sana tu ndo maana umejaribu kujibu hoja!
Lakini kumbuka ni kaguzi ngapi zinafanywa ofisi ya Audotor General na utumbo/uovu unafunikwa na baadaye kuumbuliwa. Me nadhana tuendelee kupeana habari na wenye kuzifanyia kazi wafanyie!
 
Lugha iliyotumika kufikisha ujumbe ni mbovu sana.
Mkuu chamsingi umeelewa tena sana tu ndo maana umejaribu kujibu hoja!
Lakini kumbuka ni kaguzi ngapi zinafanywa ofisi ya Audotor General na utumbo/uovu unafunikwa na baadaye kuumbuliwa. Me nadhana tuendelee kupeana habari na wenye kuzifanyia kazi wafanyie!

sio Audotor mkuu,ni Auditor
 
Back
Top Bottom