Chuo Kikuu Cha Tanga ni Vituko!

Gagurito

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
5,600
803
Habari zenu ndugu? Natumai muwazima na salama. Kwa waokifahamu chuo hiki sitegemei mshituko wowote toka kwao bt kwa wale msiokijua chuo hiki maarufu kama Eckenford Tanga University habari ndio hiyo. Mpango wa chuo hiki ni hovyo na haupo sawa, kina jengo moja ambalo ukiliona hutasita kulifananisha na jengo mojawapo la shule fulani ya sekondari, eneo lake ni finyu sana kiasi chakutilia shaka long term plans za chuo hiki. Kwa kifupi mambo hayapo sawa na baado sana licha yakupewa kibali na TCU pia kuanza kudahili wanafunzi rasmi. Ni hayo tu!
 
Mmiliki wa hiki chuo ni mfanyabiashara..yupo kibiashara zaidi,ana shule tangu chekechekea mpaka University.Yaani ana,chekechea,primary,secondary,chuo cha ualimu na sasa university..na vyote historia yake ni mbovu.
 
Kitakuwa chuo kizuri kwa kurisiti...yaani zile supplymentary exams zitakuwa zinafanyikia pale!!
 
Kuna kijana namfahamu anasoma pale,
maajabu ni kuwa inaonyesha hada ada yao iko juu sana,
pamoja na kuwa wanasoma education.
 
Habari zenu ndugu? Natumai muwazima na salama. Kwa waokifahamu chuo hiki sitegemei mshituko wowote toka kwao bt kwa wale msiokijua chuo hiki maarufu kama Eckenford Tanga University habari ndio hiyo. Mpango wa chuo hiki ni hovyo na haupo sawa, kina jengo moja ambalo ukiliona hutasita kulifananisha na jengo mojawapo la shule fulani ya sekondari, eneo lake ni finyu sana kiasi chakutilia shaka long term plans za chuo hiki. Kwa kifupi mambo hayapo sawa na baado sana licha yakupewa kibali na TCU pia kuanza kudahili wanafunzi rasmi. Ni hayo tu!

Kweli kabisa, ni ****** mtupu!!! Look, mmiliki wake ana pia Eckenforde Sec school ambayo almost 99% ya wanafunzi wamepata div 0, leo anaanzisha university!!!! Graduates wa pale hakuna watakapoajiliwa, maana siku hizi mwajiri anauliza umesomea chuo gani. Take care wazazi!!
 
Nchi yetu imeshauzwa mbaya zaidi mzaha hadi kwnye mambo ya msingi kama elimu.najuuuta kuwa kwenye nchi hii aliyopewa baba ake riz
 
Dah! Eckenifode bwana ,yaan wako money oriented na ukizingatia mmiliki ni mchaga,
kiukweli hata walimu certificate na stashahada watokao hicho chuo wako poor na hawako kiualimu,
 
Dah! Eckenifode bwana ,yaan wako money oriented na ukizingatia mmiliki ni mchaga,
kiukweli hata walimu certificate na stashahada watokao hicho chuo wako poor na hawako kiualimu,

Kaka hujamboo, km vp tukapige part time au?
Ila nasikia hata malipo kwa walimu na wafanyakazi kwenye hiyo institution ni mbinde,
 
Mmiliki wa hiki chuo ni mfanyabiashara..yupo kibiashara zaidi,ana shule tangu chekechekea mpaka University.Yaani ana,chekechea,primary,secondary,chuo cha ualimu na sasa university..na vyote historia yake ni mbovu.

Huhuhuhuhu! Eckenford!
 
Kweli kabisa, ni ****** mtupu!!! Look, mmiliki wake ana pia Eckenforde Sec school ambayo almost 99% ya wanafunzi wamepata div 0, leo anaanzisha university!!!! Graduates wa pale hakuna watakapoajiliwa, maana siku hizi mwajiri anauliza umesomea chuo gani. Take care wazazi!!

Cha ajabu kila kukicha anapata wateja!
 
Habari zenu ndugu? Natumai muwazima na salama. Kwa waokifahamu chuo hiki sitegemei mshituko wowote toka kwao bt kwa wale msiokijua chuo hiki maarufu kama Eckenford Tanga University habari ndio hiyo. Mpango wa chuo hiki ni hovyo na haupo sawa, kina jengo moja ambalo ukiliona hutasita kulifananisha na jengo mojawapo la shule fulani ya sekondari, eneo lake ni finyu sana kiasi chakutilia shaka long term plans za chuo hiki. Kwa kifupi mambo hayapo sawa na baado sana licha yakupewa kibali na TCU pia kuanza kudahili wanafunzi rasmi. Ni hayo tu!

Nilidhani unasema hakina course work. ukaulize vizuri yawezekana wanadahili wanafunzi wa distance learning na pengine wanamajengo ya kupanga, aliyekwambia chuo lazima kimiliki majengo yake nani? na pia nikishuri tu kupitia taratibu za nchi yetu katika kuanzisha chuo kidogo ni tofauti na secondari.
 
Tumechoka na ubabaishaji kila sekta.....inaboa sana....longolongo mpaka ktk taaluma????!!!!!......hii nchi kila mtu anajifanyia lake analotaka....Hakuna wa kumwajibisha mwenzake.:eek2::llama:...shamba la bibi...!!!!!
 
Back
Top Bottom