Chuo kikuu cha Nairobi chagundua Samaki wanaotoka China wana sumu za Mercury, ZINK, COPPER,LEAD,IRON. Ni hatari kwa afya ya ubongo na mwili. Tz kimya

Sasa mbona unalaumu waliotoa chapisho. Kwani hiyo tv channel iinamilikiwa na wale wanasayansi. Badala ya kumkosoa anayetoa taarifa zikiwa na upungufu unamshambulia aliyeandaa utafiti. Hakuna mwanasayansi mpuuzi anayeweza kuweka vipimo bila kubainisha units gani katumia, form 2 wanajua hili sembuse wanachuo.
Imenibidi nirudi na kulisoma bandiko lako hili kwa umakini.

Ulichoandika hapa hii ndio siasa yenyewe, siyo sayansi hata kidogo.

Jaribu kulitafakari hili utaona ukweli ninaousema.

Na wanasayansi kama wewe, kama kweli wewe ni mwanasayansi, ndio mnaoturudisha nyuma sana katika nchi zetu hizi changa.

Mna-'dismiss' tu kirahisi rahisi mambo ya msingi ili muonekane nyinyi ndio mnaohodhi eneo hilo mnalodhani mnalo ufahamu nalo.

Matokeo ya kukosa umakini huo, ndiyo yanayotusababishia matatizo.
 
".....Hivyo vipimo ni vya aina gani?

Hawa wanasayansi wetu nao wakati mwingine wanayo matatizo.

Hiyo 'chart' inaonyesha vipimo na kiasi walichopata, na 'Limits' zake; lakini haisemi 'units' zake ni nini, milligrams/au micrograms ama nanograms ama picograms, au ni 'asili mia'?

Je hizo limits za madini hayo, ni kiasi anachotakiwa mtu asizidishe kiasi hicho kwa siku ama?

Au ni vipimo tu kulinganisha kiasi kinachotakiwa kisizidi kwa uzito maalum wa samaki huyo?......"

Hapa ulikuwa unalaumu wanasayansi sasa sijui unachobisha na kusema sielewi ni nini. Rejea ulichokiandika #10.
Lakini hutaki kuangalia 'lalamiko' langu la msingi, ambalo ni kukosekana kwa 'units' (vipimo) kwenye chart hiyo!
 
Lakini hutaki kuangalia 'lalamiko' langu la msingi, ambalo ni kukosekana kwa 'units' (vipimo) kwenye chart hiyo!
Lalamiko kwenda kwa nani? Nimekuonesha hapo juu na ikabidi nirejee kukukumbusha uliotupia lawama. Hawa walioonyesha taarifa kwenye Tv sio wanasayansi bali watu wa taaluma ya habari hivo wanaweza wasizingatie misingi ya kuonesha units zilizotumika. Wewe ulikuja na kuwashutumu wanasayansi waliofanya utafiti lakini hujapata taarifa direct kutoka kwao. Na hujui original report ilikuwaje. Ungeenda website ya waliofanya utafiti ukakuta mapungufu hayo ungewalaumu ungekuwa sahihi.
 
Lalamiko kwenda kwa nani? Nimekuonesha hapo juu na ikabidi nirejee kukukumbusha uliotupia lawama. Hawa walioonyesha taarifa kwenye Tv sio wanasayansi bali watu wa taaluma ya habari hivo wanaweza wasizingatie misingi ya kuonesha units zilizotumika. Wewe ulikuja na kuwashutumu wanasayansi waliofanya utafiti lakini hujapata taarifa direct kutoka kwao. Na hujui original report ilikuwaje. Ungeenda website ya waliofanya utafiti ukakuta mapungufu hayo ungewalaumu ungekuwa sahihi.
Wewe sasa unazunguka mbuyu.
Nimekwishakwambia TV haina uwezo wa kuondoa andiko lolote lililopo kwenye 'chart' inayoonekana hapo.
Units zingeambatana na vipimo hivyo zingeonekana tu kwenye hiyo chart.
Mwandishi wa habari hakuhariri kitu chochote kwenye chart hiyo inayoonyeshwa!
 
Lead inapatikana naturally katika udongo, hewa, vumbi na maji ya kunywa. Huwezi kuikwepa Lead hata ufanye nini na ndo maana kuna recommended intake amount. Ukizidi hiyo unakuwa hatarini.
Kila element inapatikana naturally lakini siyo kila mazingira yana lead hivyo, inakwepeka. Lead hakuna recommended value. Zinc ina recommended value kwa sababu inahitajika mwilini, ila ilíkizidi ndo taabu. Lead ni taabu kuanzia any detectable value.
 
Kwahiyo wewe unafurahia watanzania wenzako wapate matatizo kupitia hao samaki wa wachina?

In God we Trust
Read btn the lines bro. Nadhani kama mnataka msizile hizo samaki au msicharazwe bakora njiani na hao wachina (Hao kumbuka ni ma komredi sio mabeberu) basi SGR ijengeni kwa pesa yenu ya ndani kabisa.
Hujiulizi, ile gas yetu tuliambiwa ishafika Kinyerezi ilienda wapi?? Mbona mmeimwaga baharini tena?? China is China and will never give you a free meal.
 
Tusiishie kuwalaumu wachina na samaki wao... Wa kwetu wamefanyiwa utafiti na kugundulika wapo salama??
My take: Kila mtu awe makini sana na anachokula!

Umeagiza wali samaki hotel
Utajuaje kama ana sumu au hana?
Kuna mengine wataalamu wanahitajika kama wamesema hivyo ni lazima kususia samaki wao mara moja sio wakenya tu hata sisi pia tumo
Wachina ni nyoko wanaweza kutuletea chochote na tusijue
Sasa mpaka samaki fake


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
A study done by the University of Nairobi in 2019 found that fish imported from China had traces of Mercury, Lead, Arsenic and Copper.

KEBS, then, denied that the fish posed any danger to human health. #ToxicFlow

View attachment 1361041



Tanzania haina muda na raia wake. Wanamuda na kupambana na wapinzani na kunadi sera za ccm, na pia miradi ambayo inafaida kwa ccm.
 
Kila element inapatikana naturally lakini siyo kila mazingira yana lead hivyo, inakwepeka. Lead hakuna recommended value. Zinc ina recommended value kwa sababu inahitajika mwilini, ila ilíkizidi ndo taabu. Lead ni taabu kuanzia any detectable value.
Usitumie maji ya bomba maana lead kule haikwepeki, usinunue mbogamboga pia.
 
Nimekusoma vizuri sana
Read btn the lines bro. Nadhani kama mnataka msizile hizo samaki au msicharazwe bakora njiani na hao wachina (Hao kumbuka ni ma komredi sio mabeberu) basi SGR ijengeni kwa pesa yenu ya ndani kabisa.
Hujiulizi, ile gas yetu tuliambiwa ishafika Kinyerezi ilienda wapi?? Mbona mmeimwaga baharini tena?? China is China and will never give you a free meal.

In God we Trust
 
Umeagiza wali samaki hotel
Utajuaje kama ana sumu au hana?
Kuna mengine wataalamu wanahitajika kama wamesema hivyo ni lazima kususia samaki wao mara moja sio wakenya tu hata sisi pia tumo
Wachina ni nyoko wanaweza kutuletea chochote na tusijue
Sasa mpaka samaki fake


Sent from my iPhone using Tapatalk

Mkuu jaribu kuwa makini na chochote unachokula...
What you eat is what you become!
 
Usitumie maji ya bomba maana lead kule haikwepeki, usinunue mbogamboga pia.
Maji ya bomba lead itoke wapi? Hiyo iliishia enzi za Greek na Roman empires, waliokuwa wakiitumia kutengenezea mabomba ili kukwepa kutu. pH ikiwa chini tu, unainywa. Not today!
 
Wewe sasa unazunguka mbuyu.
Nimekwishakwambia TV haina uwezo wa kuondoa andiko lolote lililopo kwenye 'chart' inayoonekana hapo.
Units zingeambatana na vipimo hivyo zingeonekana tu kwenye hiyo chart.
Mwandishi wa habari hakuhariri kitu chochote kwenye chart hiyo inayoonyeshwa!
Wewe unaleta ubishi bure.
ntv ndo imetoa habari na ikaonekana hivo. Mpaka inakuja kusomeka hivo ni ntv team waliifanya iwe, au unataka kusema wanasayansi waliofanya utafiti ndo walikuja kufanya isomeke hivo kwenye tv. Ndo maana NASA wana tovuti, pages na video zao wanatoa wenyewe msije mkaleta maneno kama hivi. Mfano waziri atangaze na mwandishi amnukuu vibaya, wewe ugundue tatizo uanze kumlaumu waziri.
 
Ni aibu kubwa sana, watu wa ukanda wa Afrika mashariki kula samaki kutoka china, tuna ziwa Tanganyika, Victoria, rukwa, nyasa, turkana, bahari ya hindi, mito ya kila aina..... tupewe nini zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ipo pande ya kuharibu mazingira yetu kwa kuelekeza raw sewer na uchafu wa viwanda kwenye mito na ziwa hivyo basi kuwauwa samaki na chakula Chao.
 
Wewe unaleta ubishi bure.
ntv ndo imetoa habari na ikaonekana hivo. Mpaka inakuja kusomeka hivo ni ntv team waliifanya iwe, au unataka kusema wanasayansi waliofanya utafiti ndo walikuja kufanya isomeke hivo kwenye tv. Ndo maana NASA wana tovuti, pages na video zao wanatoa wenyewe msije mkaleta maneno kama hivi. Mfano waziri atangaze na mwandishi amnukuu vibaya, wewe ugundue tatizo uanze kumlaumu waziri.
LOo, wewe kweli ni mwanasayansi? Sidhani!

Ukiandika kwenye andiko lako la kisayansi, kwamba katika samaki uliofanyia utafiti wako ilionekana kulikuwemo na "lead 10ppm" Tv ikichukua bandiko lako vile vile ulivyoliandika 'Lead 10 (ppm), wawe wameondoa hiyo ppm; ibaki tu 10?

Hili wewe uliliona wapi!

Ujue pia kwamba waandishi wa habari nao wanayo taaluma yao. Wamefuzu kwenye taaluma ile, kama wewe unavyojidai hapa kufuzu kwenye hii ya sayansi. Nao wanayo miiko yao ya kazi isiyoruhusu mambo kadhaa, kama kutoa ripoti zilizohaririwa kimakosa kama unavyotaka kuaminisha hapa.
 
Maji ya bomba lead itoke wapi? Hiyo iliishia enzi za Greek na Roman empires, waliokuwa wakiitumia kutengenezea mabomba ili kukwepa kutu. pH ikiwa chini tu, unainywa. Not today!
Kwamba hawa ni vilaza walioandika hivi
Note:
ACGIH - American Council of Government and Industrial Hygienists
CDC - Centers for Disease Control and Prevention
CPSC - Consumer Products Safety Commission
EPA - Environmental Protection Agency
NIOSH - National Institute of Occupational Safety and Health
OSHA - Occupational Safety and Health Administration
BLL - Blood Lead Levels
MCLG - Maximum Contaminant Level Goal
NAAQS - National Ambient Air Quality Standards
PEL - Permissible Exposure Level
ppm - parts per million
REL - Recommended Exposure Limit
TLV/TWA - Threshold Limit Value/Time Weighted Average
µg/dL - micrograms per deciliter
IMG_20200218_181236.jpg
 
Kwamba hawa ni vilaza walioandika hivi
Note:
ACGIH - American Council of Government and Industrial Hygienists
CDC - Centers for Disease Control and Prevention
CPSC - Consumer Products Safety Commission
EPA - Environmental Protection Agency
NIOSH - National Institute of Occupational Safety and Health
OSHA - Occupational Safety and Health Administration
BLL - Blood Lead Levels
MCLG - Maximum Contaminant Level Goal
NAAQS - National Ambient Air Quality Standards
PEL - Permissible Exposure Level
ppm - parts per million
REL - Recommended Exposure Limit
TLV/TWA - Threshold Limit Value/Time Weighted Average
µg/dL - micrograms per deciliterView attachment 1361869
Unaona sasa ujuha unaouonyesha?

Sasa hapo kosa liko wapi.

Mimi naandika nini na wewe unaandika nini. Huoni hapo kwamba units zote zimezingatiwa?

Unaweza sasa kulinganisha "table hii na ile iliyoonyeshwa kwenye mada hii?

Ni kipi kinachokuchanganya sasa!

Bandiko lako hili hapa limenifunua akili kujua kwamba wewe sio mwanasayansi.
Basi, na tuihitimishe huu mjadala hapa. Hakuna sababu tena ya kuendelea nao mbele.
 
LOo, wewe kweli ni mwanasayansi? Sidhani!

Ukiandika kwenye andiko lako la kisayansi, kwamba katika samaki uliofanyia utafiti wako ilionekana kulikuwemo na "lead 10ppm" Tv ikichukua bandiko lako vile vile ulivyoliandika 'Lead 10 (ppm), wawe wameondoa hiyo ppm; ibaki tu 10?

Hili wewe uliliona wapi!

Ujue pia kwamba waandishi wa habari nao wanayo taaluma yao. Wamefuzu kwenye taaluma ile, kama wewe unavyojidai hapa kufuzu kwenye hii ya sayansi. Nao wanayo miiko yao ya kazi isiyoruhusu mambo kadhaa, kama kutoa ripoti zilizohaririwa kimakosa kama unavyotaka kuaminisha hapa.
Na hakuna sehemu nimedai mimi mwanasayansi. Ayo ni maneno yako yanayothibitisha unapenda kuandika unachojisikia bila kujua undani wa ulichoandika.
 
Back
Top Bottom