COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 712
Wanakula mpk pesa za wanafunz watt wa maskini... Chuo si uzur wa majengo bali uongoz bora utakaozaa utendaji makini
safi sana kaka,ngoja nikugongee ka like
Wanakula mpk pesa za wanafunz watt wa maskini... Chuo si uzur wa majengo bali uongoz bora utakaozaa utendaji makini
mara ya ngapi mkuuHiki chuo kisije ifilisi NSSF
Mlacha huyu huyu Alhaji?? Huyu Bwana ni Mcha-Allah hawezi kuiba kabisa.Mlacha huyo! Hata pesa za wanafunzi za field zimekatwa elf 20! Thieves
mara ya ngapi mkuu
mlacha huyu huyu alhaji?? Huyu bwana ni mcha-allah hawezi kuiba kabisa...................
. Kuna kajamaa kafuupii sana kanaitwa Kamlacha. Kale ni janga la taifaMlacha huyo! Hata pesa za wanafunzi za field zimekatwa elf 20! Thieves
Hizi Pesa zinatoka wapimaana kila siku tunaambiwa Serikali haina pesa lakini kuna sehemu zinaliwa tuu, nadhani kuna tatizo kubwa sana katika nchi yetu hiiHa ha haa, hii nchi bana, kila kona ulaji tu!
Hiki chuo kisije ifilisi NSSF
Kwani mshahara yote inakuja kama fungu moja chuoni halafu ndio inakuwa distributed kwenye akaunti zao au inalipwa vipi? maana kama inaingizwa kwenye akaunti za marehemu hamna atakayeweza kuzigusa.
Wa Tanganyika bwana.
Ukisikia udini pasi na shaka yoyote anakusudia Uislam.
Poleni sana , hili kovu mliloachiwa na ukoloni wa waingereza sasa ndio linakaribia kuwamaliza.
Kila mahali ni wizi tu.
Wengine wanachota michango ya M4Chenji eti wanakopa. Khaa! kwani saccos hiyo.
Hiki chuo kisije ifilisi NSSF